Serikali yatelekeza vijana wa kujitolea JKT 2016 iliyowafanyia usaili mtaani.

LTN USU WA MADOSO

JF-Expert Member
Sep 14, 2016
1,193
859
naomba waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa kukuomba kuwa kuna vijana watanzania wazalendo wanapenda kulitumikia taifa lao mliwafanyia usaili wa kwenda jkt toka mwezi wa nne mwaka huu na zoezi likawa limekamilika vijana hawa wameacha shughuli zao wakiwa wanasubiri kwenda kulijenga taifa lao mpaka sasa wapo mtaani naiomba serikali kutoa tamko juu ya suala hili
 
vijana wamekosa la kufanya maana walitumia gharama lukuki ya kupanda nankushuka, kutoka wilayani kwao kwenda mkoani, wengine waliuza mifugo, mashamba kwa lengo la kupata nauli ya kwenda kufanya usaili mkoani, serikali inapaswa kuliangalia hili kwa jicho la tatu maana vijana wamekata tamaa hawajui washike lipi waache lipi
 
Ndugu zangu naelewa wengi wenu kwenye Uzi ni vijana mnaotarajia kuingia kwenye mafunzo muda utakapofika lakini uvumilivu ndiyo unaotakiwa hapa,kwanini msihisi labda serikali inaandaa utaratibu mzuri sana utakao kuwa na faida kwenu,kwanini muwaze kuwa serikali imewaacha labda serikali imefuta haya mafunzo lakini Ukweli ni kwamba mafunzo yapo na ni mwaka huu huu na hayawezi kufutwa ila cha msingi sana lindeni damu zenu na wadada pia mimba
 
naomba waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa kukuomba kuwa kuna vijana watanzania wazalendo wanapenda kulitumikia taifa lao mliwafanyia usaili wa kwenda jkt toka mwezi wa nne mwaka huu na zoezi likawa limekamilika vijana hawa wameacha shughuli zao wakiwa wanasubiri kwenda kulijenga taifa lao mpaka sasa wapo mtaani naiomba serikali kutoa tamko juu ya suala hili
JKT kufanya nini? naishauri serikali isipoteze pesa zetu kugaramia hii kitu. tuna vipaumbele vingi kwa sasa sio hiyo kitu yenu.
 
naomba waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa kukuomba kuwa kuna vijana watanzania wazalendo wanapenda kulitumikia taifa lao mliwafanyia usaili wa kwenda jkt toka mwezi wa nne mwaka huu na zoezi likawa limekamilika vijana hawa wameacha shughuli zao wakiwa wanasubiri kwenda kulijenga taifa lao mpaka sasa wapo mtaani naiomba serikali kutoa tamko juu ya suala hili

Kikwete alijitahidi hadi kufikia vijana 30,000 Kwa mwaka....nilitehemea Kwa Sasa serikali inajinasibu inazo Pesa Basi angalau imudu kupeleka vijana wengi Zaidi ..,ajabu hadi Sasa hawajapeleka hata 1/3 ya aliopokuwa jk
 
JKT kufanya nini? naishauri serikali isipoteze pesa zetu kugaramia hii kitu. tuna vipaumbele vingi kwa sasa sio hiyo kitu yenu.

Tunajuwa Nchi zisizoitakia mema tanzania hazipendi tupeleke vijana JKT Au kuwa fundisha wale wako mitaani Mgambo
Wakati ziko Nchi jirani hapa Ni compulsory vijana wote kuapata mafunzo ya awali kijeshi
 
Tunajuwa Nchi zisizoitakia mema tanzania hazipendi tupeleke vijana JKT Au kuwa fundisha wale wako mitaani Mgambo
Wakati ziko Nchi jirani hapa Ni compulsory vijana wote kuapata mafunzo ya awali kijeshi
sasa wewe kiinchi kama rwanda na sijui burundi sijui malawi hata waende wote ikiwezekana na kagame naye ashiriki na nkurunziza na banda wala hawatatufikia. kwa hiyo usihofu.
 
Kila idara wanaambiwa wawe wavumililivu?
Waseme ukweli kama ni pesa ndio hamna au hawana mpango na vijana wa taifa hili maana huu ukimya wao unawatesa baadhi ya watu
 
vijana wamekosa la kufanya maana walitumia gharama lukuki ya kupanda nankushuka, kutoka wilayani kwao kwenda mkoani, wengine waliuza mifugo, mashamba kwa lengo la kupata nauli ya kwenda kufanya usaili mkoani, serikali inapaswa kuliangalia hili kwa jicho la tatu maana vijana wamekata tamaa hawajui washike lipi waache lipi

mkuu umeongea la maana
 
Ndugu zangu naelewa wengi wenu kwenye Uzi ni vijana mnaotarajia kuingia kwenye mafunzo muda utakapofika lakini uvumilivu ndiyo unaotakiwa hapa,kwanini msihisi labda serikali inaandaa utaratibu mzuri sana utakao kuwa na faida kwenu,kwanini muwaze kuwa serikali imewaacha labda serikali imefuta haya mafunzo lakini Ukweli ni kwamba mafunzo yapo na ni mwaka huu huu na hayawezi kufutwa ila cha msingi sana lindeni damu zenu na wadada pia mimba
usichukulie simple kiasi hicho
 
vijana wamekosa la kufanya maana walitumia gharama lukuki ya kupanda nankushuka, kutoka wilayani kwao kwenda mkoani, wengine waliuza mifugo, mashamba kwa lengo la kupata nauli ya kwenda kufanya usaili mkoani, serikali inapaswa kuliangalia hili kwa jicho la tatu maana vijana wamekata tamaa hawajui washike lipi waache lipi
Hivi kwa nini watu wengi wanao lalamika kukosa kitu serikalini kama ajira na elimu huwa mnapenda sana haya maneno ya kuuza shamba na mifugo ili muhurumiwe? Kwani ni vibaya kuuza hivyo vitu? Kama wazazi wako ni wakulima lazima wauze hivyo vitu ili wapate namna ya kuwahudumia watoto wao, ni sawa na mfanya biashara anavyouza bidhaa na kama kweli mnashamba hadi mnauza kwa nini msiyatumie hayo mashamba kulima mazao ili myauze. Acheni kulalamika lalamika kwa kila kitu.
 
Hivi kwa nini watu wengi wanao lalamika kukosa kitu serikalini kama ajira na elimu huwa mnapenda sana haya maneno ya kuuza shamba na mifugo ili muhurumiwe? Kwani ni vibaya kuuza hivyo vitu? Kama wazazi wako ni wakulima lazima wauze hivyo vitu ili wapate namna ya kuwahudumia watoto wao, ni sawa na mfanya biashara anavyouza bidhaa na kama kweli mnashamba hadi mnauza kwa nini msiyatumie hayo mashamba kulima mazao ili myauze. Acheni kulalamika lalamika kwa kila kitu.
KAMA HUNA LA KUONGEA KAA CHINI UNAWEZA ONGEA KITU UKAWA KICHAA LIKE NOW AKILI HUNA ACHA ITIKADI ZA UCCM
 
Back
Top Bottom