PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,075
- 1,864
Bei ya Pamba msimu huu ni Tsh 1100 kwa kilo,hii nikwamjibu wa waziri wa kilimo,Tizeba
My Note: Mpaka sasa sijamjua mtanzania mnyonge anayesaidiwa, maana si mwalimu, mkulima, mfugaji, mvuvi ama mfanyanya biashara, wote WANABAMIZWA tu
========
Serikali imetangaza kushuka kwa bei ya pamba msimu huu, lakini ikawapa habari njema wakulima kwa kufuta deni la zaidi ya Sh30 bilioni kwa wakulima wa zao hilo linalolimwa katika mikoa 17 nchini.
Chanzo: Mwananchi
My Note: Mpaka sasa sijamjua mtanzania mnyonge anayesaidiwa, maana si mwalimu, mkulima, mfugaji, mvuvi ama mfanyanya biashara, wote WANABAMIZWA tu
========
Serikali imetangaza kushuka kwa bei ya pamba msimu huu, lakini ikawapa habari njema wakulima kwa kufuta deni la zaidi ya Sh30 bilioni kwa wakulima wa zao hilo linalolimwa katika mikoa 17 nchini.
Chanzo: Mwananchi