Bei ya Pamba msimu huu ni Tsh 1100 kwa kilo,hii nikwamjibu wa waziri wa kilimo,Tizeba
Kweli huwezi kujua watu wanalalamikia nini?Mi sielewi hata mnalalamika nini anayepanga bei ni soka ama waziri siajabu hapo wasingepanga bei soko lingeamua iuzwe sh 500 kwa kilo
Ache kutumia kilakitu kama slope kisiasa
Asante kwa kunieleweshaKweli huwezi kujua watu wanalalamikia nini?
Bei ya pamba msimu ulopita 2017/2018 ilikuwa 1200tsh kwa hapa Tanzania.
Ni kweli bei ya zao lolote huwa inategemea soko lake la ndani na nje pia, pamba tunayolima soko lake huwa ni nje. Na kwa sasa soko la nje(India) la pamba limepanda.
Iweje mwaka huu ishuke bei wakti soko la nje limezidi kuimarika?
Haya ndo madhara ya Monopoly Market.
Tanzania mwaka huu wamezuia soko huria kwa maana ya makampuni mengine ya pamba kuja kununua pamba kwa wakulima, na kuwa mamlaka vya ushirika kama NYANZA COPERATIVE UNION, SHIREKU na vingine ambapo hv vyama vilikuwa vmekufa.
Unazuiaje soko huria wakati hawa ndo walikuwa wanachochea bei kupanda kwa sababu ya ushindani.
Naona dhahiri serikal haina nia njema na watu wake