Serikali yasimamisha shughuli za Shirika la CHESA kwa tuhuma za kuchochea vitendo vya jinsia moja

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,262
Ofisi ya Msajili wa NGOs inapenda kuujulisha umma kuwa imesimamisha shughuli za Shirika la COMMUNITY HEALTH EDUCATION SERVICES AND ADVOCACY (CHESA).
5714701aa3c7d542fb90b4ae332eac22.jpg
 
Duh pesa nyingi za wafadhili zilimwagwa huko wale ni mashoga tupu,wenzao wenye shughuli kama zao mbona hawajafungiwa au wameanza na CHESA kwanza. Wamechomeana nini maana walikuwa wanagombea pesa
 
Ofisi ya Msajili wa NGOs inapenda kuujulisha umma kuwa imesimamisha shughuli za Shirika la COMMUNITY HEALTH EDUCATION SERVICES AND ADVOCACY (CHESA).
5714701aa3c7d542fb90b4ae332eac22.jpg

Du huwezi kuamini kuwa, kuna NGO ya namna hii hapa Tanzania,
Ukisoma kwenye google (chesa Tanzania) hutaamini.
 
Duh pesa nyingi za wafadhili zilimwagwa huko wale ni mashoga tupu,wenzao wenye shughuli kama zao mbona hawajafungiwa au wameanza na CHESA kwanza. Wamechomeana nini maana walikuwa wanagombea pesa
Wengine ni kina nani hao mkuu
 
Wengine wafuate!!!
Hizi NGO zilifikia hatua ya kuhamamisha maanfamano, makongamano ya usodoma.
Nyambafu!!
 
Sheria, dini zetu, mila na desturi za Watanzania haziruhusu sexually workers, Kwa hali yeyote ile. Hivyo
Huyo aliye sajili NGO hiyo anatakiwa kuchukuliwa hatua,
Wameeleza vizuri kwenye website yao vitu wanavyo fanya, sio utamaduni Wa mtanzani hata kidogo.
Dah aisee... Mbaya sana mkuu aliyesajili aliangalia zaidi maslahi kwake kuliko madhara makubwa kwa jamii zetu za Afrika.

Ni yakufutwa hakika.
 
Kufungia hiyo au hizo NGOs ni hatua ya kwanza. Sasa, hatua ya pili waende na "waingie" vichwani mwa wahusika wa ushoga waukomeshe.
 
Back
Top Bottom