Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Wiki iliyopita tuliandika kuhusu kile ambacho tuliamini kuwa ni uzembe mkubwa katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ambapo iliachia kwa muda wa karibu miezi miwili kutoa tamko la kuagiza vifaa vibovu vya kupimia HIV vya SD Bioline ambavyo vilitangazwa na WHO kuwa ni vibovu na vinatakiwa kuondolewa kwa matumizi.
Serikali hatimaye imeamua kuondoa vifaa hivyo lakini haijatoa maelezo ya wazi ya nini kifanyike na nani afanye na vipi ifanyike katika kuviondoa vifaa hivyo. Hatujaelewa ni kwanini serikali imechelewa kutoa agizo hilo na ni kwanini Mganga Mkuu hajawajibishwa kutokana na hili.
Kuna vitu vya kuchezea lakini wanapochezea hadi maisha ya Watanzania wanakuwa wanazidi kuthibitisha kuwa wamepoteza uhalali wa kuitwa "viongozi"! This is just shameful! Natumaini wabunge wenye ujasiri watataka maelezo yatolewe kwenye kikao kijacho cha Bunge:
[h=1]TANZANIA: Government recalls faulty HIV test kits[/h]
DAR ES SALAAM, 6 January 2012 (PlusNews) - Tanzanian health authorities have announced the withdrawal of a South Korean HIV test kit from circulation following warnings about its poor quality.
In November, the UN World Health Organization removed the Standard Diagnostics Bioline® HIV 1/2 3.0 Rapid HIV Test Kit from its list of approved rapid test kits with immediate effect; the alert was issued after Bioline failed quality assurance tests.
The Tanzanian government has followed neighbouring Kenya [ PlusNews Global | KENYA: New guidelines follow recall of faulty HIV test | Kenya | Education | Governance | HIV/AIDS (PlusNews) | Prevention - PlusNews ] in issuing an immediate recall of all Bioline testing kits in the country.
"What we know so far is that 1,178 test kits have been used in the field, but we have yet to substantiate exactly how many of them were defective," Hadji Mponda, Tanzania's Health Minister, said at a news conference on 5 January.
Serikali hatimaye imeamua kuondoa vifaa hivyo lakini haijatoa maelezo ya wazi ya nini kifanyike na nani afanye na vipi ifanyike katika kuviondoa vifaa hivyo. Hatujaelewa ni kwanini serikali imechelewa kutoa agizo hilo na ni kwanini Mganga Mkuu hajawajibishwa kutokana na hili.
Kuna vitu vya kuchezea lakini wanapochezea hadi maisha ya Watanzania wanakuwa wanazidi kuthibitisha kuwa wamepoteza uhalali wa kuitwa "viongozi"! This is just shameful! Natumaini wabunge wenye ujasiri watataka maelezo yatolewe kwenye kikao kijacho cha Bunge:
[h=1]TANZANIA: Government recalls faulty HIV test kits[/h]
Photo: Glenna Gordon/IRIN
The UN World Health Organization has issued an alert on the test kit, which failed quality assurance tests (file photo)
In November, the UN World Health Organization removed the Standard Diagnostics Bioline® HIV 1/2 3.0 Rapid HIV Test Kit from its list of approved rapid test kits with immediate effect; the alert was issued after Bioline failed quality assurance tests.
The Tanzanian government has followed neighbouring Kenya [ PlusNews Global | KENYA: New guidelines follow recall of faulty HIV test | Kenya | Education | Governance | HIV/AIDS (PlusNews) | Prevention - PlusNews ] in issuing an immediate recall of all Bioline testing kits in the country.
"What we know so far is that 1,178 test kits have been used in the field, but we have yet to substantiate exactly how many of them were defective," Hadji Mponda, Tanzania's Health Minister, said at a news conference on 5 January.