Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Hii ni habari ya Desemba 2018. Lengo ni kulinganisha na taarifa ya nafasi 4,500 za ualimu zinazogombewa na jumla ya wahitimu 91,000.
Tatizo la ajira katika awamu hii ni kubwa mno. kwa kipindi hicho, walioajiriwa ni Chini ya 71,000 sawa na asilimia 11 (11%) ya waombaji wote 594,300. Je, ni wangapi wapo mtaani mpaka leo?
Soma zaidi
Turudi kwenye nafasi 4,500 za ualimu zilizotangazwa hivi karibuni ambazo zinagombewa na waombaji takribani 91,000. Wakiajiriwa hao 4,500 itakuwa sawa na asilimia 5 (5%) ya waombaji wote. Kwa hali hii hali ikoje huko mtaani. Ni wangapi hawakuomba? Huenda wengine waliacha kutokana na nafasi kuwa kiduchu.
Ajira za mkupuo zilikoma tarehe 1 mei, 2015 na baada ya hapo zimekuwa za kuomba. Kwa hali hii tunaelekea wapi?
...MTANIKUMBUKA (ni kauli ya kiongozi mmoja wakati anaaga)
Kujiajiri ni wazo zuri, lakini tujiulize kwanza ni kozi gani ulisoma ili ujiajiri? Kozi za kucheza na madesa, slides na vitini ni ndoto kujiajiri.
Watawala mliangalie hili, japokuwa tatizo la ajira haliwezi kuisha ila litapungua na kupunguza makali ya maisha kwa wananchi.
Tatizo la ajira katika awamu hii ni kubwa mno. kwa kipindi hicho, walioajiriwa ni Chini ya 71,000 sawa na asilimia 11 (11%) ya waombaji wote 594,300. Je, ni wangapi wapo mtaani mpaka leo?
Soma zaidi
SERIKALI YAPOKEA MAOMBI 594,300 YA WAOMBAJI WA KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA - Full Shangwe Blog
Na Mwandishi Wetu, MAELEZO,DAR ES SALAAM SERIKALI kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa U
fullshangweblog.com
Turudi kwenye nafasi 4,500 za ualimu zilizotangazwa hivi karibuni ambazo zinagombewa na waombaji takribani 91,000. Wakiajiriwa hao 4,500 itakuwa sawa na asilimia 5 (5%) ya waombaji wote. Kwa hali hii hali ikoje huko mtaani. Ni wangapi hawakuomba? Huenda wengine waliacha kutokana na nafasi kuwa kiduchu.
Ajira za mkupuo zilikoma tarehe 1 mei, 2015 na baada ya hapo zimekuwa za kuomba. Kwa hali hii tunaelekea wapi?
...MTANIKUMBUKA (ni kauli ya kiongozi mmoja wakati anaaga)
Kujiajiri ni wazo zuri, lakini tujiulize kwanza ni kozi gani ulisoma ili ujiajiri? Kozi za kucheza na madesa, slides na vitini ni ndoto kujiajiri.
Watawala mliangalie hili, japokuwa tatizo la ajira haliwezi kuisha ila litapungua na kupunguza makali ya maisha kwa wananchi.