Elninho Elninho
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 537
- 400
Katika huu mjadala inaonekana wengi hatujui lengo la mitihani ya mchujo.
Lengo hasa ni kuchukua wanafunzi kidogo wanaojitambua waendelee kuepuka ile aibu ya 0 mwisho wa siku.
Eti wanachukua wenye akili, hapana sio kweli wanafunzi wanaochukuliwa ni wale wanaofukisha ile average tu. Na avatage yenyewe huwa wan set ya kawaida kabisa kiasi kwamba kwa mtoto anayefahamu nini anafanya ni lazima atafikia
Kingine wanafanya vile wakiamin wanafunz hawana sababu za kutokufikusha ule wastani kwa sababu;
Wanawapa waalimu wazuri wanaoaminika na waalimu wao hawakosi vipindi.
Waalimu wao wanakuwa na close supervision kwa watoto wao.
Shule zao zina maktaba na maabara nzuri za kujifunzia
Kiuhalisia hakuna wanachokosa sasa swali ni KWANIN MTOTO ASIFIKIE KILE KIWANGO CHA KAWAID CHA UFAULU KILICHOWEKWA?
Hii ni tofauti kwa shule za serikali ambazo kila kitu ni shagalabagala
Hakuna maabara wala maktaba za kujifunzia hat kama zipo ni majengo tu hakuna vifaa
Waalimu ni tatzo mtoto kwa mwaka mzima anaweza kumuona mwalim hata mara tano tu pengine asimuone
Halafu na huyu umuwekee ufaulu kuvuka darasa si utakuw unamuonea tu
Mchujo haujazuiwa..isipokuwa ni unafanyika kwa kipindi ambacho si sahihi..nikiwa na maana kuwa muda mchache kabla ya usajili wa watahiniwa wa necta ili kusajili wengine walio na ufaulu mdogo kama private candidate..huo ndio aina ya mchujo unaozungumziwa..but mchujo wa kuvuka mwaka upo palepale..sasa naona watu wanachanganya ni kile ambacho serikali haijamaanisha...wa kuvuka darasa upo palepale..but siyo mtoto ameshavuka darasa..yaani yupo kidato cha nne katikati kabisa..unamchuja tena.Sijui kama umenielewa hapo