Serikali yaomba madaktari nje ya nchi, BILIONI 200 ZATENGWA KUWALIPA

Hao madaktari wanakuja na x-ray machines, CT-scan, vitanda na dawa? Au wanakuja na makoti meupe tu?

Na nani anaratibu ujio wa hao madaktari? Serikali ya CCM ni wazuri sana kwenye mambo ya 'dharura', tuliona umeme wa dharura, then chakula cha dharura kupambana na mfumko wa bei, sasa tunapata madaktari wa dharura! Na wabunge wa CCM watashangilia huu mkakati wa kujimaliza!
 
Nafurahi sana kwamba hii serikali inazidi kujichimbia kaburi, Bil 200 kwanini zisitumike kutatua na kuboresha mazingira ya kazi?


Well done serikali, haya ndio maamuzi magumu na ya kiume, kwani hata nyumbani ukimbembeleza sana mke na kumuomba lakini akashikilia msimamo wake ule ule dawa yake ni kumfukuza tu akatafute bwana mwingine. Leteni madakatari wa nje wananchi wapate tiba, suala la lugha si kikwazo kama wengi humu mamluki wanavyodai. Go go goooooo JK
 
Hao madaktari wanakuja na x-ray machines, CT-scan, vitanda na dawa? Au wanakuja na makoti meupe tu?

Na nani anaratibu ujio wa hao madaktari? Serikali ya CCM ni wazuri sana kwenye mambo ya 'dharura', tuliona umeme wa dharura, then chakula cha dharura kupambana na mfumko wa bei, sasa tunapata madaktari wa dharura! Na wabunge wa CCM watashangilia huu mkakati wa kujimaliza!

Tulia unyolewe kijana , mbona una mshawasha hivyo mpaka povu la mdomo linakutoka?

 
Well done serikali, haya ndio maamuzi magumu na ya kiume, kwani hata nyumbani ukimbembeleza sana mke na kumuomba lakini akashikilia msimamo wake ule ule dawa yake ni kumfukuza tu akatafute bwana mwingine. Leteni madakatari wa nje wananchi wapate tiba, suala la lugha si kikwazo kama wengi humu mamluki wanavyodai. Go go goooooo JK

Kwaiyo madaktari niwake zenu?
 
Sure z anothr SILLY SEASON! Tukifk uchaguz ujao kwa aman cjui coz serkal imekua ikifanya ad hoc decisiöns whch ar like addenda in our country! Haingii akilin kuwaagiza madaktar toka nje ya nchi whl ikijulkana kua garama ni kubwa ya kumhudumia dr toka india ukilingansha na dr wa tz! "SERIKAL DHAIFU HUFANYA MAAMUZI DHAIFU SIKU ZOTE" tusubr tuingie mtaan kuiondoa serkal Dhaifu

"Wajinga ndio waliwao"
Hakuna mtu ataleta madr. hapa,wataleta interns ili waje kujifunzia kazi huku,na mtawahudumia kwa gharama kubwa.Lakini huu ni mwanya mwingine wa kupatia fedha za uchaguzi.Kama hizo nchi zimekubali kuwatoa free,watu watapitishia gharama zao humo.
Nimeamini kuwa serikali yetu ni dhaifu ndio maana hata mikataba huwa ni dhaifu.Kama umeshindwa majadiliano kwa miezi miwili na wafanyakazi wako ,mikataba huwa wana negotiate vipi?Negotiation skills zao ziko Low.
serikali ilituambia haina fedha za kuwalipa ,hizi 200 zimetoka wapi?Hii serikali ni ya kuzidi kuibana.Inaonekana ina fedha nyingi ila ziko kwenye matumizi ya hovyo.Naomba manesi na walimu nao wagome ili tujue mengi,na wataona nchi sasa imevaa kaptula.

Hao madr. wataweza kuwa maintain kwa muda mfupi tu,gharama zitakapokuwa kubwa, na matatizo mengine yatakayojitokeza watakumbuka shuka wakati kumepambazuka,na kukuta mzimu wa Ulimboka umewasimamia.
 
Ikombolewe na nani sasa , ww au nani ? Hivi JF members wengine huwa mnafikiriaga kwa kutumia nn ?


Umeona haya yanayoendelea au watokwa povu tu hapa?

The Shadow Chief Whip, Mr.
Tundu Lissu, said they received
reports indicating Dr. Ulimboka
had identified one Mr Msangi
from the Criminal
Investigation Department in Dar es Salaam as one of his
assailants". SOURCE: The
Citizen-30 June 2012
 
"Wajinga ndio waliwao"
Hakuna mtu ataleta madr. hapa,wataleta interns ili waje kujifunzia kazi huku,na mtawahudumia kwa gharama kubwa.Lakini huu ni mwanya mwingine wa kupatia fedha za uchaguzi.Kama hizo nchi zimekubali kuwatoa free,watu watapitishia gharama zao humo.
Nimeamini kuwa serikali yetu ni dhaifu ndio maana hata mikataba huwa ni dhaifu.Kama umeshindwa majadiliano kwa miezi miwili na wafanyakazi wako ,mikataba huwa wana negotiate vipi?Negotiation skills zao ziko Low.
serikali ilituambia haina fedha za kuwalipa ,hizi 200 zimetoka wapi?Hii serikali ni ya kuzidi kuibana.Inaonekana ina fedha nyingi ila ziko kwenye matumizi ya hovyo.Naomba manesi na walimu nao wagome ili tujue mengi,na wataona nchi sasa imevaa kaptula.

Hao madr. wataweza kuwa maintain kwa muda mfupi tu,gharama zitakapokuwa kubwa, na matatizo mengine yatakayojitokeza watakumbuka shuka wakati kumepambazuka,na kukuta mzimu wa Ulimboka umewasimamia.

Bora kuleta madaktari wa nje kutoka nchi rafiki ambazo zimekubali tena free kuliko kwa hawa madaktari maslahi wa Tanzania wanaotaka mshahara wa milioni 13 kwa mwezi. Waende nje watalipwa huko , ila kwa Tanzania hilo halitekelezeki.

 
Kwa mujibu wa habari hizo,kiasi cha sh bilioni 200 kimetengwa kwa ajili yakuwaleta na kuwagharimia madaktari hao wa nje na pia baraza limepitisha azimio la kuzungumza na hospitali za jeshi kama Lugalo na zingine ndogo kubeba jukumu hilo kwa sasa pamoja kuagiza madaktari wastaafu wote
warejee kazini katika kipindi hiki cha mgomo.
Chanzo:TANZANIA DAIMA
hapo kkwenye red pananitatiza wakuu.

kwani hicho kiasi ambacho madaktari wanahitaji kiongezekeke kinafikia shillingi ngapi kwa jumla?

Na je, hizo pesa serikali itazitenga kutoka wapi, maana cheji ya rada sidani kama bado zipo, na hizo budget support si nasikia barabara na miradi mingi imesimama kwa hivi sasa!?

 
kwa mkataba wa mda gani mana ikivunja mkataba ni gharama mara 6. chenji ya rada itaisha twiga wataisha migodi imeisha what next? kugawana kila mtu achukue chake.
 
Hatimaye mambo mengi yaanza kudhihirika, hivi humo ndani ya utawala wale washauri wenye kuona mbali na kupambanua mambo hawapo kabisa, hiki ni kiini macho hiyo hela kwa nini sasa isitatue matatizo hayo, kama kununua vitanda, vitendea kazi ambavyo wataalamu hao wanadai. Sipati picha tuendako, nahisi kama wanatawala bora liende ili ifike 2015, maana sasa fikra zimegota kabisaaaa!! maamuzi haya sijajua ccm yote imecolapse kiasi hicho. wale wazee wameenda wapi ama wanatizama kama sinema fulani! HAKIKA NCHI IMEACHWA KABISA IFE KILA MTU ANASEMA LIWALO NA LIWE, Afya hoi, Elimu ndo kabisa mwanafunzi anafaulu la saba hajui kusoma wala kuandika, Kilimo uchakachuaji tupu mara mazao msiuze nje soko likiisha nje sasa ruksa!. Ardhi kila maafisa wanagawa viwanja hata ndani ya mito, vituo vya mafuta hadi katika viwanja vya shule.Uchukuzi sijui niseme nini makampuni ya viongozi tupu hata wa kukemea hayupo yanazidi kuuwa barabara ambazo zinajengwa kwa kiwango cha chini mno. Bado mtu anasimama anaseme tutaendelea kutawala milele sijui ijasiri huo anautoa wapi na anamdanganya nani na kwa faida ya nani!!!!! Ifikapo 2014 sijui tutakuwa tunasema lugha gani kama hali ndo hii. basi ndugu zangu niishie hapo maana yanakuja mengi hadi nachanganyikiwa.
 
Umeona haya yanayoendelea au watokwa povu tu hapa?

The Shadow Chief Whip, Mr.
Tundu Lissu, said they received
reports indicating Dr. Ulimboka
had identified one Mr Msangi
from the Criminal
Investigation Department in Dar es Salaam as one of his
assailants". SOURCE: The
Citizen-30 June 2012

Una uhakika na majungu yenu kama kawaida? Dr Ulimboka mmeisha sikia hata ubongo wake haufanyi kazi vizuri, sasa unategemea atawezaje kumtambua mtu? CDM acheni kujitafutia umaarufu kwa njia hizi, bungeni bajeti imewashinda na mmeenda kuleta bajeti ya harusi ndio iwe ya nchi, Shame on you !
 
Hatimaye mambo mengi yaanza kudhihirika, hivi humo ndani ya utawala wale washauri wenye kuona mbali na kupambanua mambo hawapo kabisa, hiki ni kiini macho hiyo hela kwa nini sasa isitatue matatizo hayo, kama kununua vitanda, vitendea kazi ambavyo wataalamu hao wanadai. Sipati picha tuendako, nahisi kama wanatawala bora liende ili ifike 2015, maana sasa fikra zimegota kabisaaaa!! maamuzi haya sijajua ccm yote imecolapse kiasi hicho. wale wazee wameenda wapi ama wanatizama kama sinema fulani! HAKIKA NCHI IMEACHWA KABISA IFE KILA MTU ANASEMA LIWALO NA LIWE, Afya hoi, Elimu ndo kabisa mwanafunzi anafaulu la saba hajui kusoma wala kuandika, Kilimo uchakachuaji tupu mara mazao msiuze nje soko likiisha nje sasa ruksa!. Ardhi kila maafisa wanagawa viwanja hata ndani ya mito, vituo vya mafuta hadi katika viwanja vya shule.Uchukuzi sijui niseme nini makampuni ya viongozi tupu hata wa kukemea hayupo yanazidi kuuwa barabara ambazo zinajengwa kwa kiwango cha chini mno. Bado mtu anasimama anaseme tutaendelea kutawala milele sijui ijasiri huo anautoa wapi na anamdanganya nani na kwa faida ya nani!!!!! Ifikapo 2014 sijui tutakuwa tunasema lugha gani kama hali ndo hii. basi ndugu zangu niishie hapo maana yanakuja mengi hadi nachanganyikiwa.

Mshahara wa Tzs 13m kwa mwezi ndio iwe kima cha chini hilo haliwezekaniki, ni bora waache hiyo kazi wakatafute kazi yenye kuwalipa hivyo

 
Una uhakika na majungu yenu kama kawaida? Dr Ulimboka mmeisha sikia hata ubongo wake haufanyi kazi vizuri, sasa unategemea atawezaje kumtambua mtu? CDM acheni kujitafutia umaarufu kwa njia hizi, bungeni bajeti imewashinda na mmeenda kuleta bajeti ya harusi ndio iwe ya nchi, Shame on you !

Tafuta the citzen,mbona unahaha kujibu hoja kwa kuegemea upande mmoja.vipi ndo unaamka nini?
 
Something is wrong somewhere either kuna viongozi wanafanya makusudi ili jambo la madaktari likos e solution au tuna washauri dhaifu serikalini......i cant think any other
 
Something is wrong somewhere either kuna viongozi wanafanya makusudi ili jambo la madaktari likos e solution au tuna washauri dhaifu serikalini......i cant think any other

Mshahara wa 13 m kwa mwezi ndio madaktari wa bongo wanataka, hili halitekelezeki hata malaika washuke

 
Back
Top Bottom