benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Wizara ya Afya imenunua magari 727 ya kubeba wagonjwa yatakayotolew a kwa kila halmashauri na hospitali za mikoa. Naibu Waziri, Dk Godwin Mollel amesema kila halmashauri inatarajiwa kupata magari mawili na hospitali ya mkoa itapata moja.
Dk Mollel alisema hayo alipofanya ziara kukagua utoaji huduma na mandeleo ya ujenzi wa miundombinu na upatikanaji wa vifaa tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma.
"Tumenunua ambulance (magari ya kubeba wagon-jwa) 727 na tayari zimeanza kuingia na tumekubaliana angalau zifike ambulance 200, kuna uwezekano wa kila halmashauri kupata mbili na kila hospitali ya mkoa kupata, hivyo kuna uwezekano wa mkoa wako (Kigoma) kupata ambulance 17 zitakazosaidia kupiga hatua katika huduma za afya," alisema.
Dk Mollel alisema hayo alipofanya ziara kukagua utoaji huduma na mandeleo ya ujenzi wa miundombinu na upatikanaji wa vifaa tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma.
"Tumenunua ambulance (magari ya kubeba wagon-jwa) 727 na tayari zimeanza kuingia na tumekubaliana angalau zifike ambulance 200, kuna uwezekano wa kila halmashauri kupata mbili na kila hospitali ya mkoa kupata, hivyo kuna uwezekano wa mkoa wako (Kigoma) kupata ambulance 17 zitakazosaidia kupiga hatua katika huduma za afya," alisema.