MUGASHA THE HERO
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 327
- 204
No thank youAre you still believe him?
Kwani mrema kazeeka lini Wakati moshi wanamwita bab
nouma sana
Mwanasiasa mwenye jinsia mbili.pia ni "popo" huku anajifanya mnyama halafu anaruka na ndege.mrema
Kama ni hivyo yeye, Mwakyembe, Magembe, Lukuvi wangepaswa kujiudhuru maana wao ni miongoni mwa wazee waliotufikisha hapa. #mvdaresalaam# #mabehewamabovuSerikali yangu itakuwa na vijana wengi maana wazee ndo wametufikisha hapa tulipo" (JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI)
baada ya kuwateua vijana kazaa Kama MIZENGO KAYANZA PITA PINDA na ANNA MAKINDA miezi michache iliyopita, Leo Raisi wetu mtukufu amemchagua mwingine machachali na mchapa kazi ndugu AUGUSTINE LYATONGA MLEMA kuwa mwenyekiti wa bodi ya taifa ya parole
Ama kweli kwa staili hii suruhisho la tatizo la ajira kwa vijana limepatiwa dawa
KIDUM CHAMA CHA MAPINDUZI
Vijana wenyewe hata kuandika kunawashinda kazi mtaweza?Serikali yangu itakuwa na vijana wengi maana wazee ndo wametufikisha hapa tulipo" (JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI)
baada ya kuwateua vijana kazaa Kama MIZENGO KAYANZA PITA PINDA na ANNA MAKINDA miezi michache iliyopita, Leo Raisi wetu mtukufu amemchagua mwingine machachali na mchapa kazi ndugu AUGUSTINE LYATONGA MLEMA kuwa mwenyekiti wa bodi ya taifa ya parole
Ama kweli kwa staili hii suruhisho la tatizo la ajira kwa vijana limepatiwa dawa
KIDUM CHAMA CHA MAPINDUZI
Kwani amekwenda kinyume? Sasa kwani hujui kuwa kama serikali ina vijana wengi kuliko wazee?Serikali yangu itakuwa na vijana wengi maana wazee ndo wametufikisha hapa tulipo" (JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI)
baada ya kuwateua vijana kazaa Kama MIZENGO KAYANZA PITA PINDA na ANNA MAKINDA miezi michache iliyopita, Leo Raisi wetu mtukufu amemchagua mwingine machachali na mchapa kazi ndugu AUGUSTINE LYATONGA MLEMA kuwa mwenyekiti wa bodi ya taifa ya parole
Ama kweli kwa staili hii suruhisho la tatizo la ajira kwa vijana limepatiwa dawa
KIDUM CHAMA CHA MAPINDUZI
Labda Fahmi Dovutwa na Hamed Rashid ambaye tayari kapewa wizara kule visiwaniKwa hizi sifa za zis gavament usishangae mpinzani kupewa wizara huko mbele.