MUGASHA THE HERO
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 327
- 204
- Thread starter
- #21
Vijana wenyewe hata kuandika kunawashinda kazi mtaweza?
Vijana wenyewe hata kuandika kunawashinda kazi mtaweza?
labda awe tlp bt sio cdm, cuf, na ictKwa hizi sifa za zis gavament usishangae mpinzani kupewa wizara huko mbele.
Serikali yangu itakuwa na vijana wengi maana wazee ndo wametufikisha hapa tulipo" (JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI)
baada ya kuwateua vijana kazaa Kama MIZENGO KAYANZA PITA PINDA na ANNA MAKINDA miezi michache iliyopita, Leo Raisi wetu mtukufu amemchagua mwingine machachali na mchapa kazi ndugu AUGUSTINE LYATONGA MLEMA kuwa mwenyekiti wa bodi ya taifa ya parole
Ama kweli kwa staili hii suruhisho la tatizo la ajira kwa vijana limepatiwa dawa
KIDUM CHAMA CHA MAPINDUZI
Nimekuelewa mkuu ila nafikiri ingependeza zaidi kama ungeandika "do you still believe on him....."Are you still believe him?
are you still believe him? = do you still believe him?Are you still believe him?
Heshima yako mkuu nimecheka sanaHata Mrema bado kijana sana ndiyo kabalehe mwezi uliopita tu. Maneno na matendo mbali mbali! HAPA MAJANGA TU!
Heshima yako mkuu nimecheka sana
Heshima ikurudie Mkuu. Umeshaongeza miaka ya kuishi Mkuu kwa kucheka sana.