Serikali yangu haijanitendea haki


Unaniongezea hasira ujuwe.
 

Wewe wacha kulalamika ndio nyinyi vilaza mnakuwa wabunge zero brain mkiletewa mada mnatoka bungeni
 
unaniongezea hasira ujuwe.

pole sana, :"sisi ccm ni wapuuzi"..by kinana
so hata serikali inayotokana na ccm ni ya kipuuzi, mambo yake ni ya kipuuzi, wanaokishabikia ni wa.....

Pole vumilia ndio malipo hayo toka serikali yako ya ki....uzi
 
Sasa wewe hasira za kukosa mkopo tu....Hebu fikiria hasira za Watanzania milioni 45 kuhusiana na ufisadi, ujangili, ugaidi, utajiri wa nchi kuwanufaisha wachache, watoto wako kukosa mikopo/ajira huku wakiambiwa wajiajiri wakati hawana mitaji ya kuanzia biashara na wao wenye mitaji ya kuanzia biashara watoto wao wanawaingiza kinyemela katika taasisi mbali mbali nchini, hasira za kuona mikataba ya mbali mbali nchini haijali maslahi ya nchi hata kidogo. Warudishie kadi ya Mamndenyi.

Unaniongezea hasira ujuwe.
 
Last edited by a moderator:
sisiemu oyeeee.... Na sasa wamehamia kwa watumishi wa serikali na wameanza kuwakamua walimu elfu 10, eti za ujenzi wa maabara.. Sijui ile bajeti ya elimu iliyopitishwa 2014/2015 nayo imekwapuliwa ikaingizwa katika bunge la 6 la kukata mauno.. a.k.a bmk??

Mtakipenda tu chama cha wapuuzi....
 
Wewe wacha kulalamika ndio nyinyi vilaza mnakuwa wabunge zero brain mkiletewa mada mnatoka bungeni

Please usifanye huu uzi ukafungiwa kwa kuwa nitafungua mwingine. Jisaidie ulale.
 
Him.....
 
BAK BAK umepata pa kutapikia siyo? Sema yote. Mie hapa mpaka wampe dogo mkopo hivi hivi tutaelewana ndivyo sivyo.
 
Last edited by a moderator:
Kabla yakunijibu soma kitabu cha tcu guideline cha mwaka huu.

Pamoja na hayo yote lakini walio kuwa kwenye uhakika kupata mkopo ni wale walio chagua course za Ualimu na Udaktari na baadhi ya course za sayansi!
Kuna watoto wa ndugu zangu wanne mmoja kachukua Education in physics mwingine Education in physics wote hawa wamepewa na walikuwa na division three!

Na wawili wote walichagua course ya Accounting na wamekosa mkopo na walikuwa na division two na walisoma shule za kawaida! Katika hawa kuna mmoja amefiwa na Mama alikosa lakini amekwenda bodi wakamwambia kuna makosa yamefanyika hivyo wamwambia a appeal!
 

kwi kwi kwi! mkuki umemkosa nguruwe umemchoma mwanadamu
 

Unaposema pamoja na hayo mtu msomi kama wewe unanichanganya. Kwani hicho kitabu cha tcu ulikiandika wewe. Dont make me foo l bhana. Guidelines waliweka wao mkubwa.

Hao watoto wako wamepewa waache. Am asking hawa watu wanakuwa wamekula nini kuandika kitabu cha tcu na kutoa mikopo.
 

DADA MARA NYINGI TUMEKUAMBIA NA KUKUONYA KWAMBA HIZO KANGA , KOFIA , WALI KITUMBO NDONDO na FANTA TAKE AWAY MNAZOPEWA BURE IKO SIKU MTALIPA , UNAONA SASA ?
 
by Mamndenyi;
Amechagua kozi ya priorty. Na kapangiwa hiyo hiyo. Kweli asipewe hata single cent. Hii nchi imekuwaje.



Mama mamDenyi hii nchi mbona nzuri tuuu, Kidumu cha cha mapinduzi!
Tulia msumari wa moto ukuingie vzr maana huwa unajitoaga ufahamu!

cc
shost yako faizafox
 
Last edited by a moderator:
BAK BAK umepata pa kutapikia siyo? Sema yote. Mie hapa mpaka wampe dogo mkopo hivi hivi tutaelewana ndivyo sivyo.

Wakikupa utatulia!! waliokosa hanawa wa wakuwasemea maskini wale wamebaki kulalamika na wazazi wao.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…