REAGAN C.MABOGO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 1,269
- 1,007
Neno "udikteta" nililitaja kwa mara ya kwanza disemba 2015 wakati napinga ada elekezi. Nilionya juu ya nchi kurejeshwa kwenye mfumo wa ujamaa. Mfumo huu ni kandamizi na wa kijinga sana. Wanaoufuata huwa ni asili wawe madikteta na pia wenye mawazo mgando na wanaoongoza bila hekima na upendo kwa watu wao. Hiki ndicho kinachoendelea. ACHA WAISOME NAMBA.