Naombea hii iwe kweli na kama private ni wazalendo wa kweli aoutomatically lazima wamejibu hivyo. Unajua huyu jamaa baada ya kuitwa dhaifu mara kibao chinichini mpaka waziwazi akafikiri kutokuwa dhaifu ni kutishia wanyonge na kuwapiga (kama alivyofanya kwa Dk Uli) akili ya kuku.