Serikali yaipongeza Bakwata kwa kuanzisha Bakwata Online Academy

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,947
141,927
Waziri wa Utumishi mh Mchengerwa amesema serikali inaipongeza Bakwata kwa kutia mafunzo ya uongozi kwa waumini wake kwa njia ya Tehama iitwayo Bakwata Online Academy

Kadhalika Mchengerwa ameimba wananchi kuendelea kuwaombea viongozi wa serikali wakati wote.

Chanzo: Channel ten
 
Back
Top Bottom