Serikali yaifunga Hospitali ya IMTU

Kifungiwe hata chuo chenyewe maana hata madatari wake sijui kama wakipata say intern Muhumbili, KCMC au Bugando watafaulu!!!
 
Yanafungwa majengo tu na sio waliofanya vitendo hivyo vya kikatiri, Tanganyika yetu masikiniiii !!!!!!!
 
Imefungiwa hospitali sio chuo na sababu ni ukiukwaji was taratibu za wizara ya afya na hakuna connection yoyote cadava saga
Nilifikiri hayo mabaki ya watu yalikuwa ya kujifunzia (Chou kikuu) na siyo ya hospitali! Kwa nini ifungiwe hospitali isiyo husika?
 
Hebu tuangalie nini kilitokea kutokana na hali halisi, hizi maiti huwa zinatumiwa na vyuo vyote vya u Dr katika mafunzo kwa vitendo hapa ni (IMTU, MHIMBILI, KCMC na vinginevyo) IMTU kama chuo cha sector binafsi tanuru lao la kuchoma haya masalia lilikiuwa limehalibika hivyo walilazimika kutumia tanuru la Mhimbili ambayo ni Hosptal na chuo kikuu cha afya TANZANIA. Tanuru la mhimbili nalo ambalo ni la serikali, na hospital kuu ya TAIFA lilkuwa limehalibika na halifanyi kazi, hivyo kuwafanya IMTU kukosa sehemu ya kutupa haya mabaki yao sehem sahihi. nakubali IMTU wana kosa lakini sio peke yao pia mhimbili ambayo ni hosptal ya Taifa kama tanuru lao limehalibika ni wapi wanatupa masalia yao. hapa ndipo tunaona madai ya DR Ulimboka and Co yana maana gani ambapo serikali iliishia kumng'oa kucha. wa kwanza kuwajibika hapa ni serikali yenyewe na wala si IMTU kama wengi wanavyopiga kelele.
 
hivi ningekua ndio kiongozi mwemye hayo madfaraka ningechoma hayo mabki hata kwenye shamba yangu.
 
Nawakiwakomalia sana wahindi basi Fisadi akienda kutibiwa India tu harudi mzima...mtakomaje?
 
Hebu tuangalie nini kilitokea kutokana na hali halisi, hizi maiti huwa zinatumiwa na vyuo vyote vya u Dr katika mafunzo kwa vitendo hapa ni (IMTU, MHIMBILI, KCMC na vinginevyo) IMTU kama chuo cha sector binafsi tanuru lao la kuchoma haya masalia lilikiuwa limehalibika hivyo walilazimika kutumia tanuru la Mhimbili ambayo ni Hosptal na chuo kikuu cha afya TANZANIA. Tanuru la mhimbili nalo ambalo ni la serikali, na hospital kuu ya TAIFA lilkuwa limehalibika na halifanyi kazi, hivyo kuwafanya IMTU kukosa sehemu ya kutupa haya mabaki yao sehem sahihi. nakubali IMTU wana kosa lakini sio peke yao pia mhimbili ambayo ni hosptal ya Taifa kama tanuru lao limehalibika ni wapi wanatupa masalia yao. hapa ndipo tunaona madai ya DR Ulimboka and Co yana maana gani ambapo serikali iliishia kumng'oa kucha. wa kwanza kuwajibika hapa ni serikali yenyewe na wala si IMTU kama wengi wanavyopiga kelele.

kwa taarifa za ndani ni kwamba walitakiwa tozwa million7 na agha khan kwa hiyo huduma ila wao waliona nyingi wakaamua mpa ticha wao million4 ili ikachomewe dampo. huo ni uzembe wa hali ya juu, ada ya imtu ni kubwa sana, kukosa million7 ni fedheha kwa imtu.
 
Hospitali imefungiwa baada ya kufanyika kwa ukaguzi na kugundulika mapungufu
Tatizo la ukaguzi huu na kuchukua hatua wakati huu, inaonyesha kuwa wahusika walikuwa hawafanyi kazi zao. Mapungufu haya si ya siku moja tena yamekuwepo siku nyingi na si ajabu waliyafahamu. Sasa wanachukua hatua si kwa sababu ya mapungufu lakini kwa sababu kuna shinikizo kubwa kwa kosa jingine lililotokea!
 
Imefungwa hospital sio chuo ,chuo kina operate kitu ambacho sijaelewa vile viungo vilitumika na chuo au na hospital maana naona kuna janja inafanyika hapa,kama vilitumika na chuo kwanini ifungiwe hospitali!?kosa afanye mpangaji adhabu apewe mwenye nyumba inakuja hijo!?hapo ni kutesa wananchi wanaotegemea huduma kutoka hospitalini hapo na najua uongozi umeangalia wapi wanapata mapato mengi
 
Back
Top Bottom