Serikali yafyeka mishahara ya watumishi

Serikali yafyeka mishahara ya watumishi

GTs,
Kuna mtu analia na serikali, yaani mshahara wake wa June 2025 umekatwa kama 3%.

Poleni sana wafanyakazi wa serikali.
Wewe huna taarifa za kutosha mwambie aliyekwambia akupè habar nzima halafu uje hapa ulete . Siyo kila unachosikia kwenye vijiwe unaleta huku
 
Moderator nisaidie kubadili heading isomeke hivi “Serikali Yafyeka Mishahara ya Watumishi Juni 2025”
 
Fedha za uchaguzi kwa mapato ya ndani!!

Maandalizi ya kisaikolojia ya mwezi July kwamba hakuna ongezeko zaidi sana wataridisha makato ya mwezi huu!!!

Serikali Haina fedha na hazina imekauka hivyo lazima wakate ili ijiendeshe!!

Wabunge lazima wapewe kiinua mgongo chao lazima wakate Ili kufidia kiinua mgongo chao kilichopunguka!!

Hizo ni speculations binafsi ninavyowaza na kuwazua!!

Mungu ibariki Tanzania!!
 
Great Thinkers,
Kuna malalamiko kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa serikali ya Tanzania kuhusu mishahara yao ya mwezi Juni 2025. Inaripotiwa kuwa baadhi ya watumishi wamekumbwa na makato yasiyoeleweka ya takribani asilimia 3% kutoka kwenye mishahara yao. Hali hii imezua taharuki na maswali mengi miongoni mwa watumishi wa umma.
Kwa dhati kabisa, poleni sana watumishi wa umma. Tunatambua mchango wenu mkubwa katika kuendesha shughuli za serikali na kutoa huduma muhimu kwa wananchi. Ni wazi kuwa kila senti inayokatwa ina athari kwa maisha ya kila siku, hasa kwa wale waliokuwa tayari wamepanga matumizi ya mishahara hiyo kwa uangalifu mkubwa.
Ni matumaini yetu kuwa mamlaka husika kama Hazina, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Ndani (CAG) watatoa ufafanuzi wa kina kuhusu makato haya:
  • Je, ni marekebisho ya kodi au michango ya hifadhi ya jamii?
  • Au ni makato ya marekebisho ya mfumo wa mishahara?
  • Je, kuna ucheleweshaji wa malipo ya baadhi ya posho au marupurupu?
Ni muhimu kwa serikali kuweka uwazi na kutoa taarifa mapema kwa watumishi wake, kwani mshahara wa mtumishi ni mtegemeo wa familia nyingi.

Kwa mara nyingine, poleni sana watumishi wa serikali. Tunaamini serikali itasikiliza kilio chenu na kuchukua hatua stahiki. Endeleeni kuwa wavumilivu huku tukisubiri ufafanuzi rasmi.
Acha umbea na uchonganishi,mbona mzigo umeingia kamili.
 
Great Thinkers,
Kuna malalamiko kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa serikali ya Tanzania kuhusu mishahara yao ya mwezi Juni 2025. Inaripotiwa kuwa baadhi ya watumishi wamekumbwa na makato yasiyoeleweka ya takribani asilimia 3% kutoka kwenye mishahara yao. Hali hii imezua taharuki na maswali mengi miongoni mwa watumishi wa umma.
Kwa dhati kabisa, poleni sana watumishi wa umma. Tunatambua mchango wenu mkubwa katika kuendesha shughuli za serikali na kutoa huduma muhimu kwa wananchi. Ni wazi kuwa kila senti inayokatwa ina athari kwa maisha ya kila siku, hasa kwa wale waliokuwa tayari wamepanga matumizi ya mishahara hiyo kwa uangalifu mkubwa.
Ni matumaini yetu kuwa mamlaka husika kama Hazina, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Ndani (CAG) watatoa ufafanuzi wa kina kuhusu makato haya:
  • Je, ni marekebisho ya kodi au michango ya hifadhi ya jamii?
  • Au ni makato ya marekebisho ya mfumo wa mishahara?
  • Je, kuna ucheleweshaji wa malipo ya baadhi ya posho au marupurupu?
Ni muhimu kwa serikali kuweka uwazi na kutoa taarifa mapema kwa watumishi wake, kwani mshahara wa mtumishi ni mtegemeo wa familia nyingi.

Kwa mara nyingine, poleni sana watumishi wa serikali. Tunaamini serikali itasikiliza kilio chenu na kuchukua hatua stahiki. Endeleeni kuwa wavumilivu huku tukisubiri ufafanuzi rasmi.
Sema mshahara wako,halafu muwe mnajitokeza mnarudisha deni la loan board
 
Back
Top Bottom