Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,580
Mgimwa anasema baada ya kubanwa sana jana serikali imeamua kuondoa ongezeko la kodi iliyokuwa imependekezwa kwenye mafuta .
mtakumbuka michango ya wabunge makini Mdee, Mnyika , Lissu jana , imewafanya kuondoa ongezeko hilo.
mtakumbuka michango ya wabunge makini Mdee, Mnyika , Lissu jana , imewafanya kuondoa ongezeko hilo.