Serikali yafuta leseni zote za kuhodhi maeneo ya madini na wamiliki wake watakiwa kuomba upya

Labda awamu hii uwepo wa madini nchini kwetu utakuwa na mrejesho kwa wananchi.

Tumechezewa vya kutosha. Tulikuwa na mineral curse kama DRC, ila kwa hili Jiwe kitaeleweka tu. Wale waliozoea kutunyonya watalia na kusaga meno.

Mimi sio CCM wala CDM. Nashutumu inapobidi na napongeza panapostahili. Kwa hili napongeza sana. Tena sana.

Kaza buti JPM. Hizi ndiyo hatua za kiongozi shupavu. Achana na laana ndogo ndogo kama za kukandamiza Abdul Nondo au Sugu.
 
Yule mwekezaji wa kule Handeni Bondo imekuwaje maana Juzi kati nimesikia kupitia taarifa ya Habari kuwa Kumbe wameacha kuchimba madini kulikoni tena?
Mwenye kujua naomba atufahamishe sababu zilizopelekea kuacha kuendelea na kuchimba madini!
 
Amesema uamuzi huo umefanyika kwa mujibu wa Sheria ya Madini ya mwaka 2018 ikisomwa na marekebisho yake ya mwaka 2017 na kanuni ya 21 ya kanuni za Madini...IKO SAWA?
Amesema uamuzi huo umefanyika kwa mujibu wa Sheria ya Madini ya mwaka 2010 ikisomwa na marekebisho yake ya mwaka 2017 na kanuni ya 21 ya kanuni za Madini (Haki Madini za mwaka huu).
 
Labda awamu hii uwepo wa madini nchini kwetu utakuwa na mrejesho kwa wananchi.

Tumechezewa vya kutosha. Tulikuwa na mineral curse kama DRC, ila kwa hili Jiwe kitaeleweka tu. Wale waliozoea kutunyonya watalia na kusaga meno.

Mimi sio CCM wala CDM. Nashutumu inapobidi na napongeza panapostahili. Kwa hili napongeza sana. Tena sana.

Kaza buti JPM. Hizi ndiyo hatua za kiongozi shupavu. Achana na laana ndogo ndogo kama za kukandamiza Abdul Nondo au Sugu.
The road to hell is paved with good intentions.
 
Naona Kagame anajichimbia mizizi tu.

Kuna kampuni hapo zinatafutwa zinanyang'anywe bila kujali gharama zao za uwekezaji.

Hii nchi inaelekea Zimbabwe very soon
Sio shamba la bibi tena
Hiki kilikua kilio kikubwa cha chadema tokea 2010
 
Makida makida.

Jiwe lilipoingia madarakani kwa sababu halina exposure halikujuwa kwamba hii dunia inaendeshwa na watu wachache sana tena kwa remote control.
jiwe ni miongoni mwa marais washamba angeyajulia wapi hayo..yeye anajua kupiga ngoma tu
 
Kwahiyo uliamini Jamaa walikwepa kodi ya $190 bilion ???.

Mkuu Jambo analisema Mkuu wa Nchi kwa Msisitizo tena akiwa Live na Dunia ikishuhudia na kusikia na Mamlaka yote anayo ,utaachaje kumuamini hata kama wewe ni Mpinzani ?..
 
kuna watu wako mfukoni tayari wanasubir kupewa hyo migod. CAG si nasikia huko hakagui. ina maana saivi madin yote ni mali ya mtu fulani au kakikundi fulani. watampa yyte wanayemtaka na wana maslah naye. TANZANIA ECLIPSE
 
..nakumbuka alivyokuwa anaeleza kwamba yale makonteina yenye makinikia yana dhahabu inayoweza kujaza isuzu tipper mbili rumbesa, na landrover pickup moja.

..sasa nawaza kama makonteina yana mali kiasi hicho, si akauze tu hiyo mali, awagawie accacia kiduchu walicho-declare na serekali isepe na ma-trillion tumalize sgr, stiegler's gorge, na kununua ndege za kumwaga?

cc Kiranga
HIYO NI TANZANIA ECLIPSE
 
Dodoma. Serikali imefuta leseni zote za kuhodhi maeneo ya madini na wamiliki wake wametakiwa kuomba upya wakizingatia Sheria ya Madini na kanuni zake.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Mei 11, 2018 Mwenyekiti wa Tume ya Madini nchini, Profesa Idris Kikula amesema tangazo la Serikali namba moja la mwaka 2018 limesema maeneo yote yaliyopewa leseni yanarejeshwa serikalini bila hakikisho la kupewa tena.

Amesema uamuzi huo umefanyika kwa mujibu wa Sheria ya Madini ya mwaka 2010 ikisomwa na marekebisho yake ya mwaka 2017 na kanuni ya 21 ya kanuni za Madini (Haki Madini za mwaka huu).

Amesema leseni zilizofutwa na wamiliki wake wanatakiwa kuomba tena zinazihusu kampuni 11, kwamba leseni hizo zinajumuisha migodi ya kati na mikubwa.

Migodi hiyo ni pamoja na Kabanga Nickel Company Limited, National Mineral Development Corporation Limited, Bafex Tanzania Limited ambayo inamiliki leseni za maeneo matatu.

Nyingine ni Mabangu Mining Limited, Resolute (Tanzania) Limited, Wigu Hill Mining Company Limited, Nachingwea Nickel Limited na Precious Metals Refinery Company Limited.

Chanzo: Mwananchi

Hivi kwa hayo makumpuni yote yameanzishwa baada ya hiyo sheria(marekebisho) au kabla? Kama ni kabla ya hiyo sheria then nasikia harufu ya shida nyingine tena.
 
Dodoma. Serikali imefuta leseni zote za kuhodhi maeneo ya madini na wamiliki wake wametakiwa kuomba upya wakizingatia Sheria ya Madini na kanuni zake.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Mei 11, 2018 Mwenyekiti wa Tume ya Madini nchini, Profesa Idris Kikula amesema tangazo la Serikali namba moja la mwaka 2018 limesema maeneo yote yaliyopewa leseni yanarejeshwa serikalini bila hakikisho la kupewa tena.

Amesema uamuzi huo umefanyika kwa mujibu wa Sheria ya Madini ya mwaka 2010 ikisomwa na marekebisho yake ya mwaka 2017 na kanuni ya 21 ya kanuni za Madini (Haki Madini za mwaka huu).

Amesema leseni zilizofutwa na wamiliki wake wanatakiwa kuomba tena zinazihusu kampuni 11, kwamba leseni hizo zinajumuisha migodi ya kati na mikubwa.

Migodi hiyo ni pamoja na Kabanga Nickel Company Limited, National Mineral Development Corporation Limited, Bafex Tanzania Limited ambayo inamiliki leseni za maeneo matatu.

Nyingine ni Mabangu Mining Limited, Resolute (Tanzania) Limited, Wigu Hill Mining Company Limited, Nachingwea Nickel Limited na Precious Metals Refinery Company Limited.

Chanzo: Mwananchi
Naona yule mzee mwenye maeneo ya madini ukubwa wake kama dar es salaam sijui itakuaje. Na yeye yumo?
 
This particular good intention is actually good and practical. Give credit where credit is due.

Mwacheni akate mirija.
But you are missing the point.

The point is not the intention. Most people have good intention.

The point is, even the people with the best intentions do not have the best practical plan to get them from the intention, through the execution of the plan to get to that intention, all the way to that intention.

The best intentions with the worst execution could amount to the Rwandan genocide.

While a sophomoric, pedestrian plan to improve a village's sanitation, with no attempt to be the best in the world. could cause a modern day version of the industrial revolution.
 
..kwa kweli wanacheza.

..kwanza tuliambiwa acacia wamekwepa kodi usd 190 billion.

..baada ya "mazungumzo" tukaletewa habari ya malipo ya usd 300 million.

..lile deni la usd 190 billion hatujalisikia tena tangu wakati huo.

Hata hiyo USD 300m ni nani ana uhakika kwamba tumelipwa? Mbwembwe zooooooooooote zile za TRA ( before then I used to think TRA ni sort of professional pamoja na kwamba ni statutory) mpk kutoa invoice ya ajabu kama ile kutokana na shinikizo za wanasiasa na kuishia kujidhalilisha tu.
 
Hao ni Presidential level,

Wanaojambishwa hapo ni kampuni za kina Kiranga ili wawapokonye maeneo wawape watu wao. That's it.
nyie watu maneno mnatoa wapi..nimecheeka sana...hii sheria ya mtandao imetunyima mengi.
 
Back
Top Bottom