Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 274
- 646
Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) imeanza zoezi la kulipa fidia ya Shilingi bn 3.66 kwa wananchi 2,471 wa Mikoa ya Simiyu ,Mwanza, Shinyanga na Tabora, ambao maeneo yao yametwaliwa kupisha Umeme wa msongo mkubwa utakaotumika katika mradi wa SGR kipande cha 5 (Isaka-Mwanza).
Mradi wa SGR ni mradi wa usanifu na Ujenzi kwa muktadha huo, maeneo yanayohitajika kwa Shughuli za mradi yamekuwa yakitwaliwa ambapo Serikali imekuwa ikiwalipa fidia wananchi ambao maeneo yao yametwaliwa ili kupisha ujenzi wa miundombinu ya reli ya kiwango cha kimataifa - SGR.
Pia soma ~ Mbona ujenzi wa SGR hapa jiji la Mwanza na kwenda Isaka umekwama?
Mradi wa SGR ni mradi wa usanifu na Ujenzi kwa muktadha huo, maeneo yanayohitajika kwa Shughuli za mradi yamekuwa yakitwaliwa ambapo Serikali imekuwa ikiwalipa fidia wananchi ambao maeneo yao yametwaliwa ili kupisha ujenzi wa miundombinu ya reli ya kiwango cha kimataifa - SGR.
Pia soma ~ Mbona ujenzi wa SGR hapa jiji la Mwanza na kwenda Isaka umekwama?
