Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 291
- 686
Wananchi wa Kata ya Badi Vijiji vya Mashimba na Mhadi wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Wameishukuru Serikali kwa Kuwalipa fidia zao Kutokana na kuchukua maeneo yao ili kupisha njia ya umeme mkubwa utakaotumika kuendeshea Treni za SGR katika kuapnde cha Tano cha Isaka - Mwanza .
Hayo yamejili wakati wa zoezi la ulipaji fidia linaloendelea katika kipande hicho cha tano linalofanyika Katika mikoa ya Mwanza , Shinyanga , Simiyu na Tabora .
Wananchi hao wameongeza kusema kuwa wameupokea mradi wa SGR kwa furaha na kuahidi kuwa wazalendo ikiwemo kuilinda miundombinu yake na kuhakikisha mradi unakuwa salama wakati wote .
Hayo yamejili wakati wa zoezi la ulipaji fidia linaloendelea katika kipande hicho cha tano linalofanyika Katika mikoa ya Mwanza , Shinyanga , Simiyu na Tabora .
Wananchi hao wameongeza kusema kuwa wameupokea mradi wa SGR kwa furaha na kuahidi kuwa wazalendo ikiwemo kuilinda miundombinu yake na kuhakikisha mradi unakuwa salama wakati wote .