tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,818
- 18,241
- Thread starter
- #81
Mkuu yaani huwezi kuamini haya mauzauza yanayofanyika ktk nchi hii. Kuna makada wengi tu wenye kadi lakini hawapati kazi kirahisi....wanachagua wale wenye roho mbaya ndio wanawapa ajira ili waende kutokomeza upinzani huko mashinani. Haya ndio malengo ya Rais katika mchakato wake wa kuufuta upinzani ifikapo 2020. Nchi hii imeoza kabisa.