Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Mwanzo hawakulifahamu hili,na aliposema atanunua Koroshow zote kwa bei moja bila kujali madaraja alikuwa anamdanganya nani?Korosho inayonunuliwa ni Daraja la Kwanza na la Pili tu..! Hilo daraja la Tatu ata huko kwenye soko la Dunia huwezi kuuza utanunua yanini?
Sent using Jamii Forums mobile app