fikiri kwa kutumia akili wewe bibikizee,hujui aliyekuwa akiibana serikali yako ya matapeli bungeni ni nani?alimbana waziri kwa kumtaka atamke ni lini wataanza kubana matumizi ya serikali but waziri wako kilaza akapotezea siku ya majumuisho.time will tell.Sasa hiyo inahusiana nini na Mbowe? jamaa kwa kudandia, hamuwachi.