Yanayoiumiza nchi hii kwa sana sio haya. Tunaigharamia sana SIASA. Ufisadi, rushwa, ubadhirifu, wizi bado vinaendelea. Tunabaki kukimbizana na mambo madogo hayo.
We kwani ujui kuwa mpango mzima wa kupunguza matumizi mabaya ya pesa za serikali ni mkakati wa CDM ambapo Mbowe ni mwenyekiti wake; Wenzio wana-desa tu kila kitu kwa CDM.Sasa hiyo inahusiana nini na Mbowe? jamaa kwa kudandia, hamuwachi.
Sasa hiyo inahusiana nini na Mbowe? jamaa kwa kudandia, hamuwachi.
Sasa hiyo inahusiana nini na Mbowe? jamaa kwa kudandia, hamuwachi.
What a crazy bitch are you! The most important thing here is not heading, "the message"Sasa hiyo inahusiana nini na Mbowe? jamaa kwa kudandia, hamuwachi.
Sasa hapo huyu Mbowe wenu kaula kivipi? Nalidhani kaongezwa posho!Hatimaye serikali imeafiki malalamiko ya kambi ya upinzani juu ya kupunguza kubana matumizi baada ya kupitishwa azimio katika baraza la mawaziri linalowataka mawaziri wote wanapoelekea bungeni kupanda mabasi maalum tu na si kila mmoja kuondoka na mkoko wake pia na maofisa wote na wakuu wa idara yote nao imeamuliwa kuwa watakuwa wanaenda bungeni kwa mabasi maalum maana wakati wa bajeti imegundulika karibu magari yote wizarani yamehamia dodoma!taarifa rasmi itatolewa na pinda mara atakaporejea bungeni. Source bbc
Waondoshe viti maalum kwanza
wewe ndiyo unadandia,acha kuisakama cdmSasa hiyo inahusiana nini na Mbowe? jamaa kwa kudandia, hamuwachi.
pia nina wasiwasi. ni ngumu sana kuwakusanya hata wakuu wa idara ndani ya basi moja iwe mawaziri? but all in all. mimi nipo hapa dodoma. na nimenotice kuwa mawaziri wengi na makatibu wa wizara pia viongozi wao waandamizi sasa hivi wanatembelea GX. nyingine unaona kabisa ni zile za zamani. ila mkuu wangu wa kazi anatembelea V8. sijui yeye halimhusu au circular haijafika? nawakilishaI doubt if ths is a true story
Pawaaaaa!!!!Pipoooooozzz! Maliziennnniiiii!!
we ni mshari..!!Waondoshe viti maalum kwanza