Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,421
Katika ajira 4549 zilizotangazwa wiki iliyopita, baadhi ya majina yameajiriwa mara mbili katika vituo viwili tofauti. Ukifatilia katika matokeo yao ya NECTA kwa mwaka husika, unagundua kuwa namba hazikujirudia.

1.Hawa hapa walimaliza F4 mwaka 2010
Screenshot_20190430-230751.png

Matokeo ya NECTA ni namba moja tu
Screenshot_20190430-232140.png


2. Hawa walimaliza F4 2012
Screenshot_20190430-230941.png

Matokeo ya NECTA ni namba moja tu
Screenshot_20190501-092324.png

3. Hawa hapa mmoja alimaliza F4 2011 na mwingine 2015
Screenshot_20190501-093819.png

lakini jambo la kushangaza ni kwamba mwaka 2015 jumla ya idadi ya watahiniwa iliishia 0126 wakati huyu akionekana kuwa na namba 0131.
2011;
Screenshot_20190430-232546.png


2015;
Screenshot_20190501-092636.png


4. Cheki hawa hapa, mmoja kaongezewa SURNAME halafu mwingine namba yake ya F4 imeandikwa kwa irabu 'O' ilihali matokeo yanaonesha aliyefanya mtihani ni mtu mmoja tu.
Screenshot_20190502-114404.png

Screenshot_20190502-115244.png


5. Hawa hapa hawakusoma AGRICULTURE F4. Huyo aliyemaliza F4 2016 alipata 'DIV ZERO' na ni MALE lakini katika ajira ameandikwa FEMALE. Je, aliendaje advance? Hata kama angeenda, kuna F4 wa 2016 wa 'School candidate' aliyekwisha maliza SHAHADA?
Screenshot_20190502-125252.png

Screenshot_20190502-125028.png

Screenshot_20190502-124126.png



The Beautyful Ones Are Not Yet Born!
HAPPY MAY DAY!
 
Hata kipindi kile waliajiri walimu hewa

Huu nao ni ufisadi mwingine ndani ya serikali ya Jiwe maana wanaingia kwenye Mfumo wa mishahara wa watumishi wa umma wakati ni majina hewa"

Au ni kudanganya watu kwamba tumeajiri walimu elf4 kumbe ukute ni elf 1 .......

Hii serikali ya kupika data ni shida.
 
Samahani . Hivi waalimu waliojiriwa ni direct F4 au ? Ili hizo attachment zitumike kwa usahihi
 
Aisee. hii siriqal inayokusanya kuliko zote Mungu anaiona
 
Mnhh...

Em ngoja nisome vizuri.
 
dah japo huu Uzi ume nitia nguvu mana dah kumbe idadi kamili wamejaza ili tuone wapo Wengi
 
Mhhhhh ni hatar unataka kusema hapo mtu kajitengenezea shingap kwa mwez asa kama ni ajira hewa
 
Hata kipindi kile waliajiri walimu hewa

Huu nao ni ufisadi mwingine ndani ya serikali ya Jiwe maana wanaingia kwenye Mfumo wa mishahara wa watumishi wa umma wakati ni majina hewa"

Au ni kudanganya watu kwamba tumeajiri walimu elf4 kumbe ukute ni elf 1 .......

Hii serikali ya kupika data ni shida.......
Salute mkuu umetisha
Big up sana
Hii ndio Jf inayovutia
 
Back
Top Bottom