Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,324
- 2,435
Waziri wa wizara ya mambo ya ndani Mheshimiwa Masauni ametembelea kiwanda cha bidhaa za ngozi cha Kilimanjaro International Leather Industries Co. Ltd ( KLICL) kilichopo mjini moshi na kuagiza majeshi yote yaliyo chini ya wizara kununua viatu kutoka kiwanda hicho kwa kuwa vina ubora wa hali ya juu.
Masauni ametoa maagizo hayo tarehe 2 julai 2022 baada ya kutembelea kiwanda hicho na kufanya kikao na viongozi wa kiwanda, Pia amejionea uzalishaji unavyofanyika katika kiwanda hicho cha bidhaa za ngozi,
Ameagiza kuanzia sasa majeshi yote yaliyo ndani ya wizara yake kununua viatu vinavyozalishwa hapo kwa kuwa vina ubora.
Sorce: Wizara ya mambo ya ndani
Masauni ametoa maagizo hayo tarehe 2 julai 2022 baada ya kutembelea kiwanda hicho na kufanya kikao na viongozi wa kiwanda, Pia amejionea uzalishaji unavyofanyika katika kiwanda hicho cha bidhaa za ngozi,
Ameagiza kuanzia sasa majeshi yote yaliyo ndani ya wizara yake kununua viatu vinavyozalishwa hapo kwa kuwa vina ubora.
Sorce: Wizara ya mambo ya ndani