General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekanusha taarifa za kuwa makubaliano ya kurudiwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar yamepatikana na pande zote mbili zinazovutana zimekubaliana
Msemaji wa SMZ amesema wananchi wawe watulivu mpaka muafaka utakapo patikanaa.
Source: ITV news 8:00pm
Msemaji wa SMZ amesema wananchi wawe watulivu mpaka muafaka utakapo patikanaa.
Source: ITV news 8:00pm