Ushafika mwanza? Au bado una apply maarifa ya jamii uliyokaririshwa na mwalimu wako? Huku hawalimi pamba tu km unafikiri. Huku ni changanyikeni unalima pamba, shamba jingine mahindi, lingine viazi, mpunga n.k
MWANZA INAJILISHA KWA CHAKULA CHAKE (INAJITOSHELEZA)
Yaan kumiliki smartphone na kuwa na ka tv ka flat screen pamoja na ka friji basi na ww unajilinganisha na kuku wakizungu kila kitu unafikiri ni kisasa.
TZ yetu bado sana mambo yetu yanaenda kienyeji sana ndiyo maana hapo kwenu tu mezaliwa 9 na ww hauna mpango wa kuzaa watoto 2. Kwahiyo usilazimishe mambo. Km mpaka leo watu wanatumia jembe la mkono huo usasa utatoka wapi?