Inawezekana hawapati hata senti tano mkubwa hata hiyo b 700 ni nyingi sana.Kama tunakopa just Bilioni 360, hii inanifanya nifikiri kuwa siku hizi TRA hawafikisha Makusanyo hata bilioni 700!
Kikwete tusamehe sana sana sana
Kama tunakopa just Bilioni 360, hii inanifanya nifikiri kuwa siku hizi TRA hawafikisha Makusanyo hata bilioni 700!
Aiseee na mie pia ninamuomba sana samahani Jk..
kweli!!?Trillion 62.9
Inabidi uanzishwe uzi wa kumwomba JK msamaha
JK alikuwa anatembeza kibaba kwenda kuomba. Mbona hata serikali ya USA inakopa world bank nini cha ajabu!! au kwa sababu ni serikali ya JPM?Kikwete alibezwa sana.
Sasa hivi tunajibanza ktk kauli ya kuwa na masharti nafuu
Mkuu.....Huo ni uzushi,yaani serikali ikope pesa ndogo hivo?
That means kila mtanzania anadaiwa >1.3milionikweli!!?
duuhhh... hatari hii..That means kila mtanzania anadaiwa >1.3milioni
kumbe bora hata tungelipa bombadia kwa awamu...kujinasibu kuwa tumelipa keshi siyo mkopo alizani ni sifa? mmh inabidi afundishwe japo elementary economics akawa na uelewa wa mambo ya uchumi unavyo work....duh 360b si thamani ya zile ndege zote mbili kweli. nachoka miyeKama tunakopa just Bilioni 360, hii inanifanya nifikiri kuwa siku hizi TRA hawafikisha Makusanyo hata bilioni 700!
KhaaaKwani mkuu hufuatilii vyombo vya habari.....wewe unaona ndogo wakati wenzako walipiga mpk za rambirambi kwa watu wa kagera......hakunaga kidogo usawa huu.
Kwa serikali kukopa pesa kama hiyo ni aibu,ina vyanzo vingi mkuu,Mkuu.....
Wewe ukipewa Bilion 1 leo, itakupasa utumie laki 1 kila siku hadi mwaka 2048.
Hapa namaanisha.....
Utatisua laki moja daily hadi baada ya miaka 32+ ijayo.
Hiyo ni Bilion moja.
Sasa iweje useme Bilion 360 ni pesa kidogo....