idumu
Member
- Jun 5, 2009
- 44
- 1
Jamani nasikitika kwa kusema nchi yetu haina uongozi coz umejaa rushwa na ubinafsi, Kwa nini nasema hivyo:
1. Hivi uliona nchi gani shirika limebinafishwa lakini linapewa pesa na serikali, Mfano TRL(Shirka la Reli) ina management(Uongozi) wahindi 14 na hamna wanachokifanya then mnawapa Bil 45 za nini?? Wizi tu hapa na me nasema ipo siku, Huyu JK ameshindwa NCHI ajihuzulu
2. Pili TICTS inatuingizia hasara, Kwa nini wanaikumbatia?? Kuna nini hapo???
Sasa Rwanda, Burundi na Congo wamehamia bandari ya Mombasa ajili ya UPUMBAVU WA VIONGOZI WETU, Huyu Rais wetu yupo makini kweli au amelishwa nini??
3. Nchi hii na wabunge wote wa CCM kutoa wachache tu ni makini mengine yako bungeni kupokea posho tu, WATZ TUAMKENI, we kama unakatwa kodi kwenye mshahara wako, unalipia shule za kata, unachangia uchafu nyumbani kwako, Unalipia bill ya UMEME, unalipia MAJI, unalipia kodi ya GARI LAKO, unalipia kodi ya DUKA LAKO AU OFFICE YAKO, Je kuna umhmu wa wa wewe au mimi kuendelea kutetea hawa viongozi hawana huruma, HUYU JK HANA WASHAURI WA UCHUMI, Tafakari
4. TAASISI DINI nani kasema zinarushwa?? Serikali, Kwa nini wasikamatwe?? Hiyo DECI miaka 3 nchini ipo WALIKUWA WAPI kama viongozi???
Je hospitali ngapi ni za taasisi za dini kusini, kanda ya ziwa, Kaskazini na sehemu zingine. Mfano Kaskazini huduma nyingi za afya ni za mashirika ya DINI.
Je hili mnalionaje ?? I am hating kuwa na viongozi hawana upeo wa akili na maamuzi yenye kuleta Tija na maendeleo nchini.
TOA MAONI YAKO
1. Hivi uliona nchi gani shirika limebinafishwa lakini linapewa pesa na serikali, Mfano TRL(Shirka la Reli) ina management(Uongozi) wahindi 14 na hamna wanachokifanya then mnawapa Bil 45 za nini?? Wizi tu hapa na me nasema ipo siku, Huyu JK ameshindwa NCHI ajihuzulu
2. Pili TICTS inatuingizia hasara, Kwa nini wanaikumbatia?? Kuna nini hapo???
Sasa Rwanda, Burundi na Congo wamehamia bandari ya Mombasa ajili ya UPUMBAVU WA VIONGOZI WETU, Huyu Rais wetu yupo makini kweli au amelishwa nini??
3. Nchi hii na wabunge wote wa CCM kutoa wachache tu ni makini mengine yako bungeni kupokea posho tu, WATZ TUAMKENI, we kama unakatwa kodi kwenye mshahara wako, unalipia shule za kata, unachangia uchafu nyumbani kwako, Unalipia bill ya UMEME, unalipia MAJI, unalipia kodi ya GARI LAKO, unalipia kodi ya DUKA LAKO AU OFFICE YAKO, Je kuna umhmu wa wa wewe au mimi kuendelea kutetea hawa viongozi hawana huruma, HUYU JK HANA WASHAURI WA UCHUMI, Tafakari
4. TAASISI DINI nani kasema zinarushwa?? Serikali, Kwa nini wasikamatwe?? Hiyo DECI miaka 3 nchini ipo WALIKUWA WAPI kama viongozi???
Je hospitali ngapi ni za taasisi za dini kusini, kanda ya ziwa, Kaskazini na sehemu zingine. Mfano Kaskazini huduma nyingi za afya ni za mashirika ya DINI.
Je hili mnalionaje ?? I am hating kuwa na viongozi hawana upeo wa akili na maamuzi yenye kuleta Tija na maendeleo nchini.
TOA MAONI YAKO