Mageuzi/mapinduzi yoyote huletwa na wananchi/raia/tabaka la chini kabisa baada ya kuchoshwa na vitimbi vya watawala. yaani muda ukifika utaona kila mtu anachukua hatua. Haihitaji wasomo wengi. Angali mapinduzi ya Ufaransa, Uingereza, Marekani na Urusi.
Asante kwa ukweli mkuu. Watz inabidi tuamke tupigane na uchafu unaoendelea kwa hali na mali. Lakini kwa kuongea na kupiga makelele haitoshi kwani mafisadi walishasema kelele za mpita njia haziwanyimi usingizi.