Acheni wivu hebu naye ale. Si babaye kakalia kitu! Zamu yenu ikija nanyi mtakula. Kutesa kwa zamu ndo habari ya mujini!Watz tutamuomba aendelee kutuongoza!
Una ushahidi??? Au wivu wa kike tuZile Eicher za Gongo la Mboto/ Masaki asilimia 90 ni za kwake.
Basht: Bebii wanaanza kunifuatilia eti wanasema hizi mali "zetu" zote ni zangu eti. Unaonaje niwaambie beibi kuwa zi zetu halafu unajua share yako ni kubwa nakutunzia tu miye.
Makonda ameshawanyang'anya wahindi na waarabu wengi mali zao wakiwemo akina GSM akina MO. Huyo ni jambazi kama majambazi wengine! Huo ni utajiri wa laana tu. Huyo babake wa kambo anampa kiburi sana Huyo shoga. siku jiwe akiondoka makonda atakuwa masikini atanyang'anywa hadi baiskeli.
Ndipo hapo ninaposhangaa kwa "double standards" za hali ya juu za serikali hii ya awamu ya tano kutokana na maamuzi yake
Unajua 2035 ni miaka mingapi toka sasa, watu mna mikataba ya kuishi na Mungu eh!Kwani wasukuma si watz? Hata wachaga watamuomba aendelee kuwanyosha mafisadi na mawakala wao mpaka 2035
Mmefundishwa siasa za kiimla huko UVCCCMNawasemea watz! Kama wewe si Mtz basi endelea na shughuli zako!
Bado ni hivohivo labda kama kauzaHaya maneno yalikuwaga kipindi kile kwa ridhiwani, kila petrol station mpya tuliambiwa yake, kila ghorofa jipya lake! Leo wamesahau
Hizo nguvu nyingine kwa makonda mnampa kwenye mitandao kiuhalisia hana kuna watu kama Mo unaweza kuwafanyia figisu lakini ni ngumu kuwafanyia hostile takeover Inahitaji akili kubwa zaidi ya mnayoitajaMakonda ameshawanyang'anya wahindi na waarabu wengi mali zao wakiwemo akina GSM akina MO. Huyo ni jambazi kama majambazi wengine! Huo ni utajiri wa laana tu. Huyo babake wa kambo anampa kiburi sana Huyo shoga. siku jiwe akiondoka makonda atakuwa masikini atanyang'anywa hadi baiskeli.
President. Hapo ndipo tutaisoma namba kwa lugha zoteThe future is .....