Serikali ya Rais Magufuli, Hili la Madalali Nalo Mlifanyie Kazi kama la Wamachinga

Mk54

JF-Expert Member
Dec 29, 2016
1,997
3,933
Kwa kutambua juhudi za dhati kabisa zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya ndugu John Pombe J Magufuli katika kuhakikisha nchi inakusanya kodi vizuri ili kuleta tija katika Maendeleo.

Aidha, hakuna Nchi inayoweza kupiga hatua pasipo kuweka mizizi imara ya ukusanyaji kodi kwenye mizunguko mbalimbali ya kifedha.

Kuna hawa watu wanaojiita Madalali wa Nyumba, Viwanja, Mashamba na Vyombo vya Usafiri ambao kimsingi wanapata pesa kila wanapomfanyia kazi mteja na pesa hiyo haiendi Serikalini hata senti tano.

Kwa muktadha huo, Serikali inapaswa kuhakikisha hawa watu ;

1. Wanasajiliwa kisheria kwa kutumia Vitambulisho vya NIDA na wawe na Ofisi zinazofahamika na TRA pamoja na Serikali za Mitaa badala ya kuwa na page tu kwenye Social Media.

Hii itasaidia pia kuondoa ulaghai na watu " kupigwa". Nchi zote ambazo zimeendelea Madalali wote wamesajiliwa na wana Ofisi zinazofahamika; ukiwa unahitaji huduma basi unaenda Ofisini kwao.

2. Walipe kodi kama Wafanyabiashara wengine

3. Walindwe kisheria kuwa mwenye Nyumba yoyote anayetaka kuuza au kupangisha Nyumba lazima apitie kwa Dalali aliyesajiliwa na kuwe na makubaliano ya namna ya yeye atakavyopata malipo ya kazi yake.

4. Mteja aliyepatiwa huduma atapaswa kuwa Na Stakabadhi ya huyo Dalali itakayokuwa na Taarifa zake pamoja na namba ya usajili na ulipaji kodi

5. Kwenye Ofisi ya Dalali kuwe na Taarifa juu ya aliyepangishwa na mpangishwaji yeyote lazima awe na Kitambulisho cha Uraia au Kibali cha kuishi Nchini Tanzania kutoka Uhamiaji.

Uhalifu na Ugaidi umekuwa mwingi siku hizi ni lazima Serikali ifungue macho.

Rais Magufuli kupitia timu yako hili mlifikirie kuhakikisha Nchi yetu inaenda sambamba na mabadiliko ya kisasa .

Ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kila Raia analipa kodi na pia kuondoa kabisa ulaghai na ujanja ujanja katika nchi pamoja na kuimarisha ulinzi hasa kwa kipindi hiki tunachoelekea cha Uchaguzi.
———————-
On date: 1 January 2020



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna utofauti kati ya kukusanya kodi na kukamua wananchi...
Kwa kutambua juhudi za dhati kabisa zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya ndugu John Pombe J Magufuli katika kuhakikisha nchi inakusanya kodi vizuri ili kuleta tija katika Maendeleo.

Aidha, hakuna Nchi inayoweza kupiga hatua pasipo kuweka mizizi imara ya ukusanyaji kodi kwenye mizunguko mbalimbali ya kifedha.

Kuna hawa watu wanaojiita Madalali wa Nyumba, Viwanja, Mashamba na Vyombo vya Usafiri ambao kimsingi wanapata pesa kila wanapomfanyia kazi mteja na pesa hiyo haiendi Serikalini hata senti tano.

Kwa muktadha huo, Serikali inapaswa kuhakikisha hawa watu ;

1. Wanasajiliwa kisheria kwa kutumia Vitambulisho vya NIDA na wawe na Ofisi zinazofahamika na TRA pamoja na Serikali za Mitaa badala ya kuwa na page tu kwenye Social Media.

Hii itasaidia pia kuondoa ulaghai na watu " kupigwa". Nchi zote ambazo zimeendelea Madalali wote wamesajiliwa na wana Ofisi zinazofahamika; ukiwa unahitaji huduma basi unaenda Ofisini kwao.

2. Walipe kodi kama Wafanyabiashara wengine

3. Walindwe kisheria kuwa mwenye Nyumba yoyote anayetaka kuuza au kupangisha Nyumba lazima apitie kwa Dalali aliyesajiliwa na kuwe na makubaliano ya namna ya yeye atakavyopata malipo ya kazi yake.

4. Mteja aliyepatiwa huduma atapaswa kuwa Na Stakabadhi ya huyo Dalali itakayokuwa na Taarifa zake pamoja na namba ya usajili na ulipaji kodi

5. Kwenye Ofisi ya Dalali kuwe na Taarifa juu ya aliyepangishwa na mpangishwaji yeyote lazima awe na Kitambulisho cha Uraia au Kibali cha kuishi Nchini Tanzania kutoka Uhamiaji.

Uhalifu na Ugaidi umekuwa mwingi siku hizi ni lazima Serikali ifungue macho.

Rais Magufuli kupitia timu yako hili mlifikirie kuhakikisha Nchi yetu inaenda sambamba na mabadiliko ya kisasa .

Ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kila Raia analipa kodi na pia kuondoa kabisa ulaghai na ujanja ujanja katika nchi pamoja na kuimarisha ulinzi hasa kwa kipindi hiki tunachoelekea cha Uchaguzi.
———————-
On date: 1 January 2020



Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kutambua juhudi za dhati kabisa zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya ndugu John Pombe J Magufuli katika kuhakikisha nchi inakusanya kodi vizuri ili kuleta tija katika Maendeleo.

Aidha, hakuna Nchi inayoweza kupiga hatua pasipo kuweka mizizi imara ya ukusanyaji kodi kwenye mizunguko mbalimbali ya kifedha.

Kuna hawa watu wanaojiita Madalali wa Nyumba, Viwanja, Mashamba na Vyombo vya Usafiri ambao kimsingi wanapata pesa kila wanapomfanyia kazi mteja na pesa hiyo haiendi Serikalini hata senti tano.

Kwa muktadha huo, Serikali inapaswa kuhakikisha hawa watu ;

1. Wanasajiliwa kisheria kwa kutumia Vitambulisho vya NIDA na wawe na Ofisi zinazofahamika na TRA pamoja na Serikali za Mitaa badala ya kuwa na page tu kwenye Social Media.

Hii itasaidia pia kuondoa ulaghai na watu " kupigwa". Nchi zote ambazo zimeendelea Madalali wote wamesajiliwa na wana Ofisi zinazofahamika; ukiwa unahitaji huduma basi unaenda Ofisini kwao.

2. Walipe kodi kama Wafanyabiashara wengine

3. Walindwe kisheria kuwa mwenye Nyumba yoyote anayetaka kuuza au kupangisha Nyumba lazima apitie kwa Dalali aliyesajiliwa na kuwe na makubaliano ya namna ya yeye atakavyopata malipo ya kazi yake.

4. Mteja aliyepatiwa huduma atapaswa kuwa Na Stakabadhi ya huyo Dalali itakayokuwa na Taarifa zake pamoja na namba ya usajili na ulipaji kodi

5. Kwenye Ofisi ya Dalali kuwe na Taarifa juu ya aliyepangishwa na mpangishwaji yeyote lazima awe na Kitambulisho cha Uraia au Kibali cha kuishi Nchini Tanzania kutoka Uhamiaji.

Uhalifu na Ugaidi umekuwa mwingi siku hizi ni lazima Serikali ifungue macho.

Rais Magufuli kupitia timu yako hili mlifikirie kuhakikisha Nchi yetu inaenda sambamba na mabadiliko ya kisasa .

Ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kila Raia analipa kodi na pia kuondoa kabisa ulaghai na ujanja ujanja katika nchi pamoja na kuimarisha ulinzi hasa kwa kipindi hiki tunachoelekea cha Uchaguzi.
———————-
On date: 1 January 2020



Sent from my iPhone using JamiiForums
Madalali ni matapeli wa mitaani tu hawana faida yoyote.
Wao kazi yao ni kuuza information na hawongezi thamani yoyote katika mauzo au mapatano.
Mtu akijiita dalali, basi ni mfanya biashara hewa asiye na ofisi wala hatambuliki mahala popote.

Kujiondo kutoka udalali ni mtu kupata mkopo, nunua mali halafu uza.
Hapo simple huwezi kununua kama huna leseni ha biashara na kuweza kulipa kodi zote stahiki.
Wengine wanaita real estate business.

Watanzania tusipende mtelemko, anzisha biashara yenye mashiko.
 
Mada,ali ni matapeli wa mitaani tu hawana faida yoyote.
Wao kazi yao ni kuuza information na hawongezi thamani yoyote katika mauzo au mapatano.
Mtu akijiita dalali, basi ni mfanya biashara hwe asiye na ofisi wala hata,buliki mahala popote.

Kujiondo kutoka udalali ni mtu kupata mkopo, nunua mali halafu uza.
Hapo simple huwezi kununua kama huna leseni ha biashara na kuweza kulipa kodi zote stahiki.
Wengine wanaita real estate business.

Watanzania tusipende mtelemko, anzisha biashara yenye mashiko.

Nakubaliana na Wewe. Serikali iangalie hili eneo.tuweke nidhamu katika kazi
 
Nchi zote ambazo zimeendelea Madalali wote......

mwenye Nyumba yoyote anayetaka kuuza au kupangisha Nyumba lazima apitie kwa Dalali aliyesajiliwa

hakuna popote duniani ambapo ukitaka kuuza chako unalazimishwa kutumia mtu wa katikati.


Mtu wa katikati anatumika kutafuta mteja au muuzaji. Kama una mteja huwezi kulazimishwa upitishe biashara kwa mtu kati.

HAKUNA KITU KAMA HICHO DUNIANI
 
hakuna popote duniani ambapo ukitaka kuuza chako unalazimishwa kutumia mtu wa katikati.


Mtu wa katikati anatumika kutafuta mteja au muuzaji. Kama una mteja huwezi kulazimishwa upitishe biashara kwa mtu kati.

HAKUNA KITU KAMA HICHO DUNIANI

Umetembea au Kuishi nchi gani na gani Mkuu ?
 
Back
Top Bottom