habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
mkuu Jecha kaingiaje hukuJecha asipo futa tutachangia
ha ha ha ha ha
mkuu Jecha kaingiaje hukuJecha asipo futa tutachangia
No mtaalamu was kufuta afute na hiyomkuu Jecha kaingiaje huku
ha ha ha ha ha
Siamini kama ni kweli maa tshs na kofia 500 x 10,000 =5,000,000, kweli wamekosa hii pesa ambayo hata chakula haitoshi?wadau mbali mbali jitokezeni kuchangia msikate tamaa ndio jirani yetu na ndg yetu wa damu huyu
No mtaalamu was kufuta afute na hiyo
Siamini kama ni kweli maa tshs na kofia 500 x 10,000 =5,000,000, kweli wamekosa hii pesa ambayo hata chakula haitoshi?
Kama ni kweli tunaelekea kubaya snhawa watu wanachosha, ameshindwa nini kupanda boti kuja kwa mwenzie amsapoti huenda ana akiba kidogo maana majuzi tu kapokea michango kibao toka kwa wahisani kwa ajili ya wahanga kule kagera,
Kama ni kweli tunaelekea kubaya sn
Wewe unaona hiyo tu maombi ni mengi sanaSiamini kama ni kweli maa tshs na kofia 500 x 10,000 =5,000,000, kweli wamekosa hii pesa ambayo hata chakula haitoshi?
wewe ni mchocheziMalengo ya mapinduzi ni.
Kuondoa ubaguzi.
Elimu bure.
Lakini hayo malengo ya mapinduzi ni kinyume, kumbe ile siku ya kuhubiri ubaguzi tayari View attachment 451769
Sawa mkuuiwe kweli si kweli, tuendako si kwema hata kidogo
Haya mimi naelekea kitandaniWewe unaona hiyo tu maombi ni mengi sana
Nachochea mini?? Unazo kuni?wewe ni mchochezi
du,Nachochea mini?? Unazo kuni?