Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar yawa ombaomba

Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar yawa ombaomba

Kwa dhuluma zilizofanyika kwenye Uchaguzi wa Oktoba 2015..

Hizi sherehe hazina maana yoyote.

Na kwa dhuluma ile, Shein ataongoza Zbar kwa shida sana.

Na bado.. ataomba mpaka ambavyo havifai kuombwa.
 
Habari wana javi
Leo imetapakaa barua ya kuomba msaada wa kifedha kukamilisha sikuku ya mapinduzi ya Zanzibar

eb70eea2ea47282720738fc8447fa91e.jpg
Kama Serikari ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) hawana uwezo wa kugharamia na washauli waahilishe tu, Wanajipa tabu ya bure ya kuomba omba.
 
Hicho Kizungu tu! Huyo aliyecomment kwenye hiyo barua itakuwa naye alipelekwa hapo Halotel kwa kimemo.
 
huko nako wameisoma namba na wamenyooshwa, si wanategemea uchumi wa bara!
 
Kama hawawezi kughalamia birthday ya Mapinduzi ya nchi yao tena kwa kununua kofia na fulana, je wataweza kulipia ghalama za umeme unaotoka Bara.
Mie nawaona kama parasite Tu.
Kwani umeme unalipiwa na serikali au shirika la umeme lenyewee?
 
Dah. Inadhalilisha sana. Very Senior government official, kwa niaba ya Serikali and therefore, the People of Zanzibar, unatuma barua kwa meneja wa kikampuni sijui cha nini unamalizia na "wako mtiifu"! Surely? Hapana.
 
Aibu kubwa kisiwa kimezungwa na maji wameshinda kutumia utalii na samaki kujilisha na hata kufanya sherehe wanachojuwa wizi tuu loo
 
Back
Top Bottom