Rudi shule ukapate elimu uondokane na hali ya unyani uliyonayo kutokana na kukosa elimu zote rasmi na hata ya mtaani tu. Wewe ni hasara kwa mamaako.Kwahiyo wamekiri nini sasa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Fake news jamiiforums imekuwa fake sana siku hizi2019/2020 Serikali ya Rais @MagufuliJP , ilichukua Mikopo ya Kibiashara yenye riba kubwa KWA SIRI kutoka kwenye mabenki ya biashara ya Standard Chartered (USD 1.5B), Eastern and Southern African Trade and Development Bank (USD 1B) na Credit Suisse (USD 200M). Jumla TZS Trilioni 6 Zitto MwamiRuyagwa Kabwe on Twitter
View attachment 1456914View attachment 1456917
Kutokana na Serikali kutaka nafuu ya madeni kutokana na Covid 19 imebidi ieleze ukweli kwa Benki ya Dunia. Serikali imekiri kutofuata kanuni za kuweka wazi mikopo hii ya kibiashara na hivyo kuomba isamehewe, na sasa mikopo hiyo itambuliwe. Deni la Taifa understated kwa TZS 6T
Pumba2019/2020 Serikali ya Rais @MagufuliJP , ilichukua Mikopo ya Kibiashara yenye riba kubwa KWA SIRI kutoka kwenye mabenki ya biashara ya Standard Chartered (USD 1.5B), Eastern and Southern African Trade and Development Bank (USD 1B) na Credit Suisse (USD 200M). Jumla TZS Trilioni 6 Zitto MwamiRuyagwa Kabwe on Twitter
View attachment 1456914View attachment 1456917
Kutokana na Serikali kutaka nafuu ya madeni kutokana na Covid 19 imebidi ieleze ukweli kwa Benki ya Dunia. Serikali imekiri kutofuata kanuni za kuweka wazi mikopo hii ya kibiashara na hivyo kuomba isamehewe, na sasa mikopo hiyo itambuliwe. Deni la Taifa understated kwa TZS 6T
Tatizo sio kukopa,kuanzia Nyerere,Mwinyi,Mkapa mpaka Kikwete wote walikopa. Tatizo linakuja pale unaposimama majukwaani na kujitapa kuwa wewe ni Donor Country na miradi yote imelipwa kwa fedha za ndani,pia kuwananga hadharani watangulizi wako kwa kukopa.Kukopa sio dhambi, unakopeshwa kwa sababu unaweza kulipa. Na unapolipa unalipa na pesa zako za ndani hivi unapata wapi ujasiri wa kuweka vitu ambavyo hata kusoma huelewi?
FYI Mwezi tu huu moja UK wamekopa £63 billion, itakuwa Tanzania kukopa hiyo change?
kutembea kifUa mbele
Tatizo sio kukopa,kuanzia Nyerere,Mwinyi,Mkapa mpaka Kikwete wote walikopa. Tatizo linakuja pale unaposimama majukwaani na kujitapa kuwa wewe ni Donor Country na miradi yote imelipwa kwa fedha za ndani,pia kuwananga hadharani watangulizi wako kwa kukopa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishawahi kumsikia Nyerere akijitamba kuwa sisi ni Donor Country?Mkuu kama tusingekuwa donor country tusingeweza kuwakomboa nchi za kusini mwa Afrika.
Mwaka huu lazima mteme NDOANO KGG anawapiga SPANA mpaka 2050.Barua gani isiyo na signature
Ulishawahi kumsikia Nyerere akijitamba kuwa sisi ni Donor Country?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio kukopa,kuanzia Nyerere,Mwinyi,Mkapa mpaka Kikwete wote walikopa. Tatizo linakuja pale unaposimama majukwaani na kujitapa kuwa wewe ni Donor Country na miradi yote imelipwa kwa fedha za ndani,pia kuwananga hadharani watangulizi wako kwa kukopa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ungejua vitu ninavyojishughulisha navyo hata usingethubutu kuongea...Inashangaza mtu msomi unatetea barua ya hivi...,Elimu yetu bado sana.Mwaka huu lazima mteme NDOANO KGG anawapiga SPANA mpaka 2050.
Wanakopa kwa siri au?