Eternal_Life
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 812
- 1,675
Eti unampa mtu mkopo kuanzia mwaka wa kwanza,akifika wa tatu unasema hana vigezo vya kukopeshwa!!Ni kheri usingempa kabisa kuanzia mwaka wa kwanza ili ajipange atasomaje au asiende kabisa chuo,kuliko aende alaf asitishe masomo katikati.Uko ni kufikiria kwa kutukia ma..lio.A failed system of gvt.Wote v..za tu hakuna wa kumshauri mwenzake.

