Serikali ya JK inamiliki magari worth 5 trillion!

Serikali ya JK inamiliki magari worth 5 trillion!

Nafikiri alikuwa Mbunge mzee mmoja toka Bukoba na alifariki kwa basi akielekea Dodoma au Dar vile? pia alishawahi kusema akili za wabunge ni kama kuku kwani kuku hunyea kwenye banda wanaloishi asubuhi wanatoka halafu usiku ukiingia wanarudi kulekule walikonyea,...hapo aliwagusa CCM kwani kidogo wampige ban ila alifuta usemi wake (Nikumbusheni jina tafadhali)
anaitwa kaboyonga
 
Back
Top Bottom