Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Kuhusu magari ya Serikali, Cheyo(Mwenyekiti PAC) alisema kumekuwa na matumizi yasiyo ya lazima katika uendeshaji na ukarabati wa magari hayo. Hadi Juni 30, 2010 Serikali ilikuwa inamiliki magari yenye thamani ya Sh5 trilioni.
Source:http://www.mwananchi.co.tz/componen...ory/22166-ufisadi-wa-mabilioni-kila-kona.html
MY TAKE
Yaani wanamiliki magari ambayo ni almost nusu ya bajeti ya nchi,no wonder wataendelea kununua meanwhile dawa,madawati kwetu bado ni issue!
Unaitaji kuwa na kichwa cha mwendawazimu kumiliki such a fleet in a poor nation like Tz
Source:http://www.mwananchi.co.tz/componen...ory/22166-ufisadi-wa-mabilioni-kila-kona.html
MY TAKE
Yaani wanamiliki magari ambayo ni almost nusu ya bajeti ya nchi,no wonder wataendelea kununua meanwhile dawa,madawati kwetu bado ni issue!
Unaitaji kuwa na kichwa cha mwendawazimu kumiliki such a fleet in a poor nation like Tz