Mh!!! Kazi kweli kweli!! Kama haya Yanawakuta UDOM, sisi ambao tarehe ishirini na nane tunaanza mitihani na kumaliza tarehe sata tumeambiwa kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kuja chuoni kusaini fedha za ada kutoka bodi...!!!!
Nakumbuka tulikuwa wakwanza kufungua chuo katika vyuo vyote Tz (Tulifungua 19/9/2011) na kwa mujibu wa maelezo ya mkurugenzi wa bodi, alisema kuwa fedha ziliisha baada ya kutuma kwa vyuo ambavyo viliwahi kufungua...!!! Sasa kama ni hivyo, mbona Mwenge hadi leo watu tunapiga miayo tu???
Maskini mimi, yaani nikimaliza college nitoke Mpanda all the way to Moshi kuja kusaini tuition fee? Hiyo nauli ya kuja na kurudi ni nusu ya fedha ya awamu ya nne ya bodi!!! Kweli ccm na serikali yake MUST GO!!! KWELI TUMECHOKA!!!
POLENI WAHANGA WOTE WA BODI YA MIKOPO YA VYUO VIKUU, LAKINI MKURUGENZI ALIKIRI KUWA HAKUNA FEDHA!!!
Hivi hawa si ndiyo walimchangia Kikwete hela ya kuchukulia form? Mbuzi kabisa nyie, I wish msipewe hilo bumu mwaka mzima.
CCM yazidi kupoteza imani kupitia kwa wasomi wa vyuo, itambulike kuwa chuo kikuu cha UDOM kina wanafunzi wa kila pande ya nchi wapo wa Mtwara(kusini), Kigoma (magharibi), Kagera (kasikazini magharibi), Arusha (kasikazini), Dar-es-salaam (mashariki) na mikoa mingine yote ya Tanzania bara na Zanzibar, ni kilio ambacho watakikumbuka miaka ijayo. Kitu ambacho wanatufanyia wanafunzi wa UDOM kutucheleweshea mkopo wetu ni njia mwafaka ya kwenda tunatangaza sera mbaya kwa serikali ya Tanzania (CCM), Kiukweli ccm ndo mwisho wa utawala wao maana tumejipanga kwenda kueneza cdm katika kata zote hapa nchini wasidhana kuwa wanatunyanyasa sisi ila wajue wanatengeneza bom ambalo litawalipua mda wowote yangu ni hayo wa jf ni kweli tumechoka hali ya wanafunzi ni mbaya pale wazazi wa wanafunzi wa Udom litambueni ndo serikali yetu inayotufanyia haya ikiwa wachache wanajilimbikizia mali ya umma wengi wanakufa na njaa. Mungu ibariki udom.
ninyi ndio kipenzi cha ccm na kikwete iweje awatende hivyo ? poleni sana naimani kwa mtini mmejifunza next time mtawasikiliza wanaharakati na hamta mchangia tena kikwete mamilioni
mnajirudi? mwaka 2015 nendeni tena mkamchukulie mgombea urais fomu ya kugombea sio ndio zenuu?
teh teh teh,,,,walimnunulia form etiiii,,,,yaan hiyo dhambi haitawaisha wala kuwatoka hata waje wanafunzi wa miaka miaka,,,,,,mingapi?????
Je wewe aliyemchagua nani mwenye rawana kakupa ahadi za uongo na ukampa kula yako.
CCM yazidi kupoteza imani kupitia kwa wasomi wa vyuo, itambulike kuwa chuo kikuu cha UDOM kina wanafunzi wa kila pande ya nchi wapo wa Mtwara(kusini), Kigoma (magharibi), Kagera (kasikazini magharibi), Arusha (kasikazini), Dar-es-salaam (mashariki) na mikoa mingine yote ya Tanzania bara na Zanzibar, ni kilio ambacho watakikumbuka miaka ijayo. Kitu ambacho wanatufanyia wanafunzi wa UDOM kutucheleweshea mkopo wetu ni njia mwafaka ya kwenda tunatangaza sera mbaya kwa serikali ya Tanzania (CCM), Kiukweli ccm ndo mwisho wa utawala wao maana tumejipanga kwenda kueneza cdm katika kata zote hapa nchini wasidhana kuwa wanatunyanyasa sisi ila wajue wanatengeneza bom ambalo litawalipua mda wowote yangu ni hayo wa jf ni kweli tumechoka hali ya wanafunzi ni mbaya pale wazazi wa wanafunzi wa Udom litambueni ndo serikali yetu inayotufanyia haya ikiwa wachache wanajilimbikizia mali ya umma wengi wanakufa na njaa. Mungu ibariki udom.