IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
niliwahi kumsikia mtu mmoja akiwa anawanga wanafunzi wa UDM, eti subiri wamalize hizo degree zao, tutawaona wakati wanaomba kazi sokoni, hee!! ndiyo nikaanza kujiuliza ni kwa nini waajili wetu hawawapendi UDM? vijana teteeni taifa lenu, acheni uoga... haya, endeleeni kulilia boom lenu, wakija viongozi wa CCM, mnawapokea