dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Source ITV
Serikali ya ccm imekubali kuuzwa kwa korosho kwa bei ya shs 3000 hadi 3016 kwa kilo katika mnada uliofanyika leo huko mtwara.
Kumbuka bei elekezi ilikuwa 1700 na seeikali ikasema inaunga mkono mgomo na bei ifike 5000 ambayo imeota mbawa.
Bei ya korosho ya mwaka jana ilikuwa kati ya 4500 hadi 5000 kwa kilo hadi mbuzi wakanywa soda
Serikali ya ccm imekubali kuuzwa kwa korosho kwa bei ya shs 3000 hadi 3016 kwa kilo katika mnada uliofanyika leo huko mtwara.
Kumbuka bei elekezi ilikuwa 1700 na seeikali ikasema inaunga mkono mgomo na bei ifike 5000 ambayo imeota mbawa.
Bei ya korosho ya mwaka jana ilikuwa kati ya 4500 hadi 5000 kwa kilo hadi mbuzi wakanywa soda