Serikali ya CCM imejiandalia Anguko takatifu...

Serikali ya CCM imejiandalia Anguko takatifu...

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
7,202
Reaction score
9,820
Kitendo cha Serikali kuanza kuzuia Watz wenye mapenzi mema kumwombea Rais wa TLS,Mbunge wa Singida Mashariki, Mwanasheria wa CHADEMA na Mnadhimu Mkuu wa KUB Mhe. Antipas Tundu Lissu zina akisi taswira hasi kwa jamii ya Kitanzania na ishara mbaya sana.

Baada ya TL kupigwa risasi 28-38 kuna Watanzania mamia kwa maelfu waliguswa na tukio hili na wakaamua kujitolea damu, kufanya maombi makanisani na kusoma albadir Misikitini ili kuonyesha mapenzi mema walokuwa nayo kwa Mtanzania mwenzao TAL. Jambo la kushangaza ni kwamba mambo yote haya yamekatazwa na kuzuiliwa na Serikali ya John Pombe Magufuli kwa sababu zisizo na msingi. Wakti Baba wa Taifa anaumwa, Mkapa anaumwa, Kikwete anaumwa, Marehemu Sitta anaumwa na Job Ndugai anaumwa, Serikali ilihimiza watu waombe ili kuleta uponyaji. Ni bahati mbaya tu Mzee Sitta ndiyo Mungu aliruhusu kumchukua. Leo iweje watu wazuiwe kuomba kwa ajili ya Tundu Lissu?? Kuna nini??

Kama serikali imefikia mahali pa kuzuia hata ibada kwa ajili ya kumwombea Mtanzania mwenzao aliyepigwa risasi 38 kama mnyama tena mchana kweupe kwenye viunga vya Bunge na hawa watu wasiojulikana wakatokomea kusikojulikana ni hali ya hatari sana. Kama sheikh, Padre, Askofu au Mchungaji na waumini wao watazuiwa kuombea ndugu zao walio wagonjwa, wenye shida na uhitaji kwa namna yoyote ile ni kwamba Serikali ya CCM sasa imeamua kupambana na Mungu.....!!!

Mungu siku zote huwa hataki kuwa beeped! Uki-beep yeye anapiga moja kwa moja. Sasa Serikali hii ya CCM na ya JPM imeamua kum-beep Mungu kwa kuzuia watu kufanya ibada zao kumwombea ndugu yao Antipas Tundu Lissu. Tusubiri, mbona ni swala la muda tu na Mungu atapiga!!Anguko lake CCM watajuta kwa kosa hili la kumpuuza Mungu wa Mbinguni..!!!
CCM wajue kwamba kuna MAOMBI YA KIMYA KIMYA YANAENDELEA NCHI NZIMA SIJUI HAYO WATAYADHIBITI VIPI....Labda kwa kutumia watu wasiojulikana ambao Mungu ANAWAJUA VIZURI SANA....Tusubiri matokeo.
 
Kitendo cha Serikali kuanza kuzuia Watz wenye mapenzi mema kumwombea Rais wa TLS,Mbunge wa Singida Mashariki, Mwanasheria wa CHADEMA na Mnadhimu Mkuu wa KUB Mhe. Antipas Tundu Lissu zina akisi taswira hasi kwa jamii ya Kitanzania na ishara mbaya sana.

Baada ya TL kupigwa risasi 28-38 kuna Watanzania mamia kwa maelfu waliguswa na tukio hili na wakaamua kujitolea damu, kufanya maombi makanisani na kusoma albadir Misikitini ili kuonyesha mapenzi mema walokuwa nayo kwa Mtanzania mwenzao TAL. Jambo la kushangaza ni kwamba mambo yote haya yamekatazwa na kuzuiliwa na Serikali ya John Pombe Magufuli kwa sababu zisizo na msingi. Wakti Baba wa Taifa anaumwa, Mkapa anaumwa, Kikwete anaumwa, Marehemu Sitta anaumwa na Job Ndugai anaumwa, Serikali ilihimiza watu waombe ili kuleta uponyaji. Ni bahati mbaya tu Mzee Sitta ndiyo Mungu aliruhusu kumchukua. Leo iweje watu wazuiwe kuomba kwa ajili ya Tundu Lissu?? Kuna nini??

Kama serikali imefikia mahali pa kuzuia hata ibada kwa ajili ya kumwombea Mtanzania mwenzao aliyepigwa risasi 38 kama mnyama tena mchana kweupe kwenye viunga vya Bunge na hawa watu wasiojulikana wakatokomea kusikojulikana ni hali ya hatari sana. Kama sheikh, Padre, Askofu au Mchungaji na waumini wao watazuiwa kuombea ndugu zao walio wagonjwa, wenye shida na uhitaji kwa namna yoyote ile ni kwamba Serikali ya CCM sasa imeamua kupambana na Mungu.....!!!

Mungu siku zote huwa hataki kuwa beeped! Uki-beep yeye anapiga moja kwa moja. Sasa Serikali hii ya CCM na ya JPM imeamua kum-beep Mungu kwa kuzuia watu kufanya ibada zao kumwombea ndugu yao Antipas Tundu Lissu. Tusubiri, mbona ni swala la muda tu na Mungu atapiga!!Anguko lake CCM watajuta kwa kosa hili la kumpuuza Mungu wa Mbinguni..!!!
CCM wajue kwamba kuna MAOMBI YA KIMYA KIMYA YANAENDELEA NCHI NZIMA SIJUI HAYO WATAYADHIBITI VIPI....Labda kwa kutumia watu wasiojulikana ambao Mungu ANAWAJUA VIZURI SANA....Tusubiri matokeo.
Hii issue itasahaulika wala hakuna mtanzania atahangaika nayo. Kwani mangapi yamekuja na kupita. Binadamu tumeumbwa kwa kusahau
 
Tena
Kitendo cha Serikali kuanza kuzuia Watz wenye mapenzi mema kumwombea Rais wa TLS,Mbunge wa Singida Mashariki, Mwanasheria wa CHADEMA na Mnadhimu Mkuu wa KUB Mhe. Antipas Tundu Lissu zina akisi taswira hasi kwa jamii ya Kitanzania na ishara mbaya sana.

Baada ya TL kupigwa risasi 28-38 kuna Watanzania mamia kwa maelfu waliguswa na tukio hili na wakaamua kujitolea damu, kufanya maombi makanisani na kusoma albadir Misikitini ili kuonyesha mapenzi mema walokuwa nayo kwa Mtanzania mwenzao TAL. Jambo la kushangaza ni kwamba mambo yote haya yamekatazwa na kuzuiliwa na Serikali ya John Pombe Magufuli kwa sababu zisizo na msingi. Wakti Baba wa Taifa anaumwa, Mkapa anaumwa, Kikwete anaumwa, Marehemu Sitta anaumwa na Job Ndugai anaumwa, Serikali ilihimiza watu waombe ili kuleta uponyaji. Ni bahati mbaya tu Mzee Sitta ndiyo Mungu aliruhusu kumchukua. Leo iweje watu wazuiwe kuomba kwa ajili ya Tundu Lissu?? Kuna nini??

Kama serikali imefikia mahali pa kuzuia hata ibada kwa ajili ya kumwombea Mtanzania mwenzao aliyepigwa risasi 38 kama mnyama tena mchana kweupe kwenye viunga vya Bunge na hawa watu wasiojulikana wakatokomea kusikojulikana ni hali ya hatari sana. Kama sheikh, Padre, Askofu au Mchungaji na waumini wao watazuiwa kuombea ndugu zao walio wagonjwa, wenye shida na uhitaji kwa namna yoyote ile ni kwamba Serikali ya CCM sasa imeamua kupambana na Mungu.....!!!

Mungu siku zote huwa hataki kuwa beeped! Uki-beep yeye anapiga moja kwa moja. Sasa Serikali hii ya CCM na ya JPM imeamua kum-beep Mungu kwa kuzuia watu kufanya ibada zao kumwombea ndugu yao Antipas Tundu Lissu. Tusubiri, mbona ni swala la muda tu na Mungu atapiga!!Anguko lake CCM watajuta kwa kosa hili la kumpuuza Mungu wa Mbinguni..!!!
CCM wajue kwamba kuna MAOMBI YA KIMYA KIMYA YANAENDELEA NCHI NZIMA SIJUI HAYO WATAYADHIBITI VIPI....Labda kwa kutumia watu wasiojulikana ambao Mungu ANAWAJUA VIZURI SANA....Tusubiri matokeo.

Tena ni anguko kubwa. Mungu hadhihakiwi. Huwezi kusema "msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Niombeeni" Wakati wewe ni baladhuri na muuaji.
 
Tena


Tena ni anguko kubwa. Mungu hadhihakiwi. Huwezi kusema "msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Niombeeni" Wakati wewe ni baladhuri na muuaji.
Kama hujui popularity ya chama ni pamoja na uwezo wa ku raise funds kukiwa na issue mwitikio mdogo wa wanachama kuchangia pesa ni jibu tosha kwa chadema kuwa watu wamekichoka na hawako tayari kukichangia tena Kama walivyofanya uchaguzi uliopita. Ukitaka kujua chadema imechokwa angalia pesa walizochangiwa. Spika alisema wabunge wengi walikuwa hawataki kuchangia. Lakini na watu wa kawaida hawataki ni dalili wazi kuwa chadema imechokwa tofauti na 2015 ambapo watu waliweka rehani hadi mali zao wakope wachangie chadema.Fund raising ni moja ya kipimo cha kupima Kama unapendwa au la iwe mchango wa harusi au chochote
 
Kama hujui popularity ya chama ni pamoja na uwezo wa ku raise funds kukiwa na issue mwitikio mdogo wa wanachama kuchangia pesa ni jibu tosha kwa chadema kuwa watu wamekichoka na hawako tayari kukichangia tena Kama walivyofanya uchaguzi uliopita. Ukitaka kujua chadema imechokwa angalia pesa walizochangiwa. Spika alisema wabunge wengi walikuwa hawataki kuchangia. Lakini na watu wa kawaida hawataki ni dalili wazi kuwa chadema imechokwa tofauti na 2015 ambapo watu waliweka rehani hadi mali zao wakope wachangie chadema.Fund raising ni moja ya kipimo cha kupima Kama unapendwa au la iwe mchango wa harusi au chochote
Mada ni inahusu MAOMBI haya ya michango umeona mstari hata mmoja umesema hivyo? peleka Mawazo yako ya mgando kushoto. Ni gazeti gani limetoa taarifa ya jumla za ela zilichochangwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hujui popularity ya chama ni pamoja na uwezo wa ku raise funds kukiwa na issue mwitikio mdogo wa wanachama kuchangia pesa ni jibu tosha kwa chadema kuwa watu wamekichoka na hawako tayari kukichangia tena Kama walivyofanya uchaguzi uliopita. Ukitaka kujua chadema imechokwa angalia pesa walizochangiwa. Spika alisema wabunge wengi walikuwa hawataki kuchangia. Lakini na watu wa kawaida hawataki ni dalili wazi kuwa chadema imechokwa tofauti na 2015 ambapo watu waliweka rehani hadi mali zao wakope wachangie chadema.Fund raising ni moja ya kipimo cha kupima Kama unapendwa au la iwe mchango wa harusi au chochote

Teh teh.......labda wanachama wao na watanganyika wengine wanaogopa kufuatiliwa. Kama maombi tu yanakatazwa....vipi kuhusu wachangiaji!!!!?
 
Kama hujui popularity ya chama ni pamoja na uwezo wa ku raise funds kukiwa na issue mwitikio mdogo wa wanachama kuchangia pesa ni jibu tosha kwa chadema kuwa watu wamekichoka na hawako tayari kukichangia tena Kama walivyofanya uchaguzi uliopita. Ukitaka kujua chadema imechokwa angalia pesa walizochangiwa. Spika alisema wabunge wengi walikuwa hawataki kuchangia. Lakini na watu wa kawaida hawataki ni dalili wazi kuwa chadema imechokwa tofauti na 2015 ambapo watu waliweka rehani hadi mali zao wakope wachangie chadema.Fund raising ni moja ya kipimo cha kupima Kama unapendwa au la iwe mchango wa harusi au chochote

Nitakusoma kesho. Hujui unachoandika. Hujui milioni ngani zilizochangiwa mpaka sasa tangu ilipotolewa taarifa mara ya mwisho. Michango ya Bunge mufilisi la ndugai lenye wanafisiem wengi si kigezo cha kuchangia. Ni mpumbavu tu anayetegemea wabunge wa fisiemu kuchangia.
 
Hii issue itasahaulika wala hakuna mtanzania atahangaika nayo. Kwani mangapi yamekuja na kupita. Binadamu tumeumbwa kwa kusahau

Ila wale watakaoumuliwa makalio hawatasahau, malipo ni hapa hapa duniani.
 
Kitendo cha Serikali kuanza kuzuia Watz wenye mapenzi mema kumwombea Rais wa TLS,Mbunge wa Singida Mashariki, Mwanasheria wa CHADEMA na Mnadhimu Mkuu wa KUB Mhe. Antipas Tundu Lissu zina akisi taswira hasi kwa jamii ya Kitanzania na ishara mbaya sana.

Baada ya TL kupigwa risasi 28-38 kuna Watanzania mamia kwa maelfu waliguswa na tukio hili na wakaamua kujitolea damu, kufanya maombi makanisani na kusoma albadir Misikitini ili kuonyesha mapenzi mema walokuwa nayo kwa Mtanzania mwenzao TAL. Jambo la kushangaza ni kwamba mambo yote haya yamekatazwa na kuzuiliwa na Serikali ya John Pombe Magufuli kwa sababu zisizo na msingi. Wakti Baba wa Taifa anaumwa, Mkapa anaumwa, Kikwete anaumwa, Marehemu Sitta anaumwa na Job Ndugai anaumwa, Serikali ilihimiza watu waombe ili kuleta uponyaji. Ni bahati mbaya tu Mzee Sitta ndiyo Mungu aliruhusu kumchukua. Leo iweje watu wazuiwe kuomba kwa ajili ya Tundu Lissu?? Kuna nini??

Kama serikali imefikia mahali pa kuzuia hata ibada kwa ajili ya kumwombea Mtanzania mwenzao aliyepigwa risasi 38 kama mnyama tena mchana kweupe kwenye viunga vya Bunge na hawa watu wasiojulikana wakatokomea kusikojulikana ni hali ya hatari sana. Kama sheikh, Padre, Askofu au Mchungaji na waumini wao watazuiwa kuombea ndugu zao walio wagonjwa, wenye shida na uhitaji kwa namna yoyote ile ni kwamba Serikali ya CCM sasa imeamua kupambana na Mungu.....!!!

Mungu siku zote huwa hataki kuwa beeped! Uki-beep yeye anapiga moja kwa moja. Sasa Serikali hii ya CCM na ya JPM imeamua kum-beep Mungu kwa kuzuia watu kufanya ibada zao kumwombea ndugu yao Antipas Tundu Lissu. Tusubiri, mbona ni swala la muda tu na Mungu atapiga!!Anguko lake CCM watajuta kwa kosa hili la kumpuuza Mungu wa Mbinguni..!!!
CCM wajue kwamba kuna MAOMBI YA KIMYA KIMYA YANAENDELEA NCHI NZIMA SIJUI HAYO WATAYADHIBITI VIPI....Labda kwa kutumia watu wasiojulikana ambao Mungu ANAWAJUA VIZURI SANA....Tusubiri matokeo.
Nilivyoelewa Mimi jaman labda masikio yangu yalishakufa.

Nikwamba kuomba watu hawakatazwi na tena waende makanisani na misikitini tu kama ilivyo zoeleka, kinachokatazwa ni watu kukusanyana sijui Sinza ati hapa tuombe kwaajili ya Lisu.

Wewe unaweza akawa na kusudio jema tu ila waharifu wakaingia na kuleta vurugu maana wanasema kwenye msafara wa Mamba na Kenge wamo.
 
Kitendo cha Serikali kuanza kuzuia Watz wenye mapenzi mema kumwombea Rais wa TLS,Mbunge wa Singida Mashariki, Mwanasheria wa CHADEMA na Mnadhimu Mkuu wa KUB Mhe. Antipas Tundu Lissu zina akisi taswira hasi kwa jamii ya Kitanzania na ishara mbaya sana.

Baada ya TL kupigwa risasi 28-38 kuna Watanzania mamia kwa maelfu waliguswa na tukio hili na wakaamua kujitolea damu, kufanya maombi makanisani na kusoma albadir Misikitini ili kuonyesha mapenzi mema walokuwa nayo kwa Mtanzania mwenzao TAL. Jambo la kushangaza ni kwamba mambo yote haya yamekatazwa na kuzuiliwa na Serikali ya John Pombe Magufuli kwa sababu zisizo na msingi. Wakti Baba wa Taifa anaumwa, Mkapa anaumwa, Kikwete anaumwa, Marehemu Sitta anaumwa na Job Ndugai anaumwa, Serikali ilihimiza watu waombe ili kuleta uponyaji. Ni bahati mbaya tu Mzee Sitta ndiyo Mungu aliruhusu kumchukua. Leo iweje watu wazuiwe kuomba kwa ajili ya Tundu Lissu?? Kuna nini??

Kama serikali imefikia mahali pa kuzuia hata ibada kwa ajili ya kumwombea Mtanzania mwenzao aliyepigwa risasi 38 kama mnyama tena mchana kweupe kwenye viunga vya Bunge na hawa watu wasiojulikana wakatokomea kusikojulikana ni hali ya hatari sana. Kama sheikh, Padre, Askofu au Mchungaji na waumini wao watazuiwa kuombea ndugu zao walio wagonjwa, wenye shida na uhitaji kwa namna yoyote ile ni kwamba Serikali ya CCM sasa imeamua kupambana na Mungu.....!!!

Mungu siku zote huwa hataki kuwa beeped! Uki-beep yeye anapiga moja kwa moja. Sasa Serikali hii ya CCM na ya JPM imeamua kum-beep Mungu kwa kuzuia watu kufanya ibada zao kumwombea ndugu yao Antipas Tundu Lissu. Tusubiri, mbona ni swala la muda tu na Mungu atapiga!!Anguko lake CCM watajuta kwa kosa hili la kumpuuza Mungu wa Mbinguni..!!!
CCM wajue kwamba kuna MAOMBI YA KIMYA KIMYA YANAENDELEA NCHI NZIMA SIJUI HAYO WATAYADHIBITI VIPI....Labda kwa kutumia watu wasiojulikana ambao Mungu ANAWAJUA VIZURI SANA....Tusubiri matokeo.
Ama kwa kuomba au kutoomba, Mwenyezi Mungu ndiye mwenye kujua ukomo au muendelezo wa uhai wa binadamu. Hata hivyo sijaona au kusikia kuwa serikali au CCM imezuia watu kufanya maombi juu ya Mh. Tundu Lissu. Mbona jana waisalamu walikuwa wakiwaombea ilbadri waliomshambulia na hawakuzuiliwa? Mbona Gwaijima alifanya maombi maalum na hakuna aliyemzuia? Eleza ukweli, usipotoshe ukweli!
 
Hakuna mtu asiyejulikana. Wao wanawajua vizuri. Wewe subiri kidogo tu sooner or later watajulikana tu kwa uweza wa roho mtakatifu
 
Nitakusoma kesho. Hujui unachoandika. Hujui milioni ngani zilizochangiwa mpaka sasa tangu ilipotolewa taarifa mara ya mwisho. Michango ya Bunge mufilisi la ndugai lenye wanafisiem wengi si kigezo cha kuchangia. Ni mpumbavu tu anayetegemea wabunge wa fisiemu kuchangia.
Bunge kumchangia pesa nyingi kuliko wanachama Na wapenzi wa chadema Ndani Na nje ya nchi wakijumlishwa pamoja. You have lost popularity mumebakia kwenye mitandao na media tu ambao hawawachangii chochote pamoja na kuuza sana habari zenu na kupata pesa iwe magazeti nk. Chadema siku zenu za kupendwa Kama wali Ndani na nje Ya nji enzi Za dr Slaa zimeisha.
 
Kama hujui popularity ya chama ni pamoja na uwezo wa ku raise funds kukiwa na issue mwitikio mdogo wa wanachama kuchangia pesa ni jibu tosha kwa chadema kuwa watu wamekichoka na hawako tayari kukichangia tena Kama walivyofanya uchaguzi uliopita. Ukitaka kujua chadema imechokwa angalia pesa walizochangiwa. Spika alisema wabunge wengi walikuwa hawataki kuchangia. Lakini na watu wa kawaida hawataki ni dalili wazi kuwa chadema imechokwa tofauti na 2015 ambapo watu waliweka rehani hadi mali zao wakope wachangie chadema.Fund raising ni moja ya kipimo cha kupima Kama unapendwa au la iwe mchango wa harusi au chochote
Very shallow, obsolete and unsciencentific judgment from lumumba. Same sheet days in days out.
 
Hii issue itasahaulika wala hakuna mtanzania atahangaika nayo. Kwani mangapi yamekuja na kupita. Binadamu tumeumbwa kwa kusahau
Ndugu watu wanazungumzia kumwombea sio kusahaulika kwako utasahau kwa kuwa hukuguswa ndo na alichofanyiwa Mtanzania mwenzetu mchana kweupe.

Kwa hiyo wapo ambao wameguswa ambao ndio wengi na hao wengi ndo wanahofiwa wasije kuamua lolote likamnyima mtu tonge linalompa jeuri ya kuzuia watu wasimwombee.
Na kama angeitapata hii nafasi ya watu ambao wameamua kujitoa ili kumwombea kwa yeye angejiona kama kaibeba dunia.

Ee Mwenyezi Mungu naomba uzidi kuimarisha afya ya Lissu. Amen
 
Nilivyoelewa Mimi jaman labda masikio yangu yalishakufa.

Nikwamba kuomba watu hawakatazwi na tena waende makanisani na misikitini tu kama ilivyo zoeleka, kinachokatazwa ni watu kukusanyana sijui Sinza ati hapa tuombe kwaajili ya Lisu.

Wewe unaweza akawa na kusudio jema tu ila waharifu wakaingia na kuleta vurugu maana wanasema kwenye msafara wa Mamba na Kenge wamo.
HAO WAHALIFU HUWA WANAINGIA KWENYE SHUGHULU ZINAZOHUSU UPINZANI TU, ILA ZA CCM, SERIKALI NA FIESTA HAWAINGII
 
Very shallow, obsolete and unsciencentific judgment from lumumba. Same sheet days in days out.
Ukiwa na mpenzi WA chama asiyekubali kuchangia party course jua huna wapenzi wa chama. Chadema performance Ya michango iwasitue mjue mumechokwa
 
Back
Top Bottom