Goodhope12
Member
- May 15, 2017
- 24
- 16
Jamani hivi inawezekanaje serikali inawaambia watu watume maombi ya kazi halafu hawatoi?
vijana tulituma application Dodoma mwezi wa 8 lakini hadi saizi mwezi wa 12 hamna kitu, tunaiomba serikali kupitia kwa wizara husika itoe ajir za walimu walio omba mwezi wa 8.
vijana tulituma application Dodoma mwezi wa 8 lakini hadi saizi mwezi wa 12 hamna kitu, tunaiomba serikali kupitia kwa wizara husika itoe ajir za walimu walio omba mwezi wa 8.