Serikali ya awamu ya tano ndo imetufikisha hapa

Uoga wetu ndio umetufikisha hapa. Tunalalamika sana lakini hatufanyi matendo kama kuandamana. Tunasubiri uchaguzi ambao mshindi ameshapangwa.
Maandamano kwa awamu hii yanatisha! Jamaa anaweza akateketeza watu wengi na wengine kuwavunjavunja. Reference ni jaribio la UKUTA si ulimwona alivaa sura ya maangamizi hadi mbowe akarejea nyuma.
 
Hili jamaa la hovyo sana, sasa ulitaka sembe iuzwe shs ngapi? Ulitaka debe la mahindi liuzwe shs ngapi? Siukalime mwenyewe! Acha tuliopinda mgongo shamba nasie tule jasho letu, kama huwezi nunua mahindi kanunue cement ya dangote inauzwa debe elfu tisa.
du! nimesoma hasira yako mkulima mwenzangu
 
Kuutaja ujinga watadhani ni uchochezi
kwa anaendani ni uchochezi akarejelee maana neno "ujinga"
Serikali imegeuka ya ajabu na ya kijinga kupita maelezo watu wapo tu busy kudeal na kulipiza visasi huku wananchi wakiumia
Kamata kamata ya ajabu ajabu huku mda ukienda
Time is money tunapoteza muda kudeal na mambo ya kina lema na lissu kuwafunga na kuwanyima dhamana bila kujali wananchi wanahitaji nini
Mfumuko wa bei kila siku kilo ya unga 2000, Debe la mahindi 22500, Tambi kuna sehemu zauzwa 2000, Nyama kilo imefika 9500, Mafuta ya kupikia.lita 4500, inakimbilia 5000 halafu unahubiri kuwa wewe ni raisi wa wanyonge looooh labda wanyonge wenzio
Mawaziri na madc na marc wasiojielewa ni wa nishati na madini tu professa muhongo ndo ana afadhali angalau haingizi siasa kwenye kazi
Wengine kick tu kama kina kigwangala kudeal na kina dr mwaka, na kina kaoge tu
huku hosptali hamna vitanda
Hii nchi inahitaji maombi sana tukemee huu ujinga wa awamu hii
Ujinga ni maradhi mabaya sana.

Tumechoka na maneno kisa uhuru wa kujieleza kwa kificho cha identity. Embu tuambie nani kaonewa na kwa ushahidi. Mbili kwa kuwa unaonekana ni mwanasiasa je unahisi kabla ya kwenda mbele. Lisu na mbowe walimwonea lowasa kumtangaza vibaya mikoani ,wamwombe msamaha au wanpeleke mahakamani. Tatu. Unahisi viongozi wafanyeje kukuridhisha we mwananchi. Mwaka jana ulipiga kelele watu waruhusiwe kuuza mazao sasa uhaba huleta bei na pia asilimia ya watu ni wakulima ada za watoto wao wapate wape wakati wewe upo unashinda mtandaoni hapa. Hiv mnajua sasa hivi tunataka kujiaminisha kuwa kazi ya Serikali ni kutupa sisi kila kitu. Ikija ikakamata wanapandisha bei utasema wanaingilia uhuru na bado mtandao unatufanya tujione karibu sawa na Marekani au ulaya. Tz ni maskini sana na kuinuka hutegemea pia na nchi zilizokuwa juu tayari na hapo ndo ujue nao watupiga vita ili waendelee kutunyonya. Hutakuta amani katika nchi zetu kwa kuwa sisi tunaotaka uchumi ukue maneno tu badala ya kulima Na kufanya kazi. Na heri uwe maskini kuliko kujiendesha kimission town utajikuta nchi inaendeshwa na wauza dawa shauriiiii yakoooooo.
 
Yaan hii nchi mambo huwa ni hovyo hovyo mpka mtu unataman bora tu mwisho wa dunia ufike..watu weng ni wanafiki na hawajui chochote kizur kwa manufaa ya nchi bila kujali itikadi za kivyama
 
Kuutaja ujinga watadhani ni uchochezi
kwa anaendani ni uchochezi akarejelee maana neno "ujinga"
Serikali imegeuka ya ajabu na ya kijinga kupita maelezo watu wapo tu busy kudeal na kulipiza visasi huku wananchi wakiumia
Kamata kamata ya ajabu ajabu huku mda ukienda
Time is money tunapoteza muda kudeal na mambo ya kina lema na lissu kuwafunga na kuwanyima dhamana bila kujali wananchi wanahitaji nini
Mfumuko wa bei kila siku kilo ya unga 2000, Debe la mahindi 22500, Tambi kuna sehemu zauzwa 2000, Nyama kilo imefika 9500, Mafuta ya kupikia.lita 4500, inakimbilia 5000 halafu unahubiri kuwa wewe ni raisi wa wanyonge looooh labda wanyonge wenzio
Mawaziri na madc na marc wasiojielewa ni wa nishati na madini tu professa muhongo ndo ana afadhali angalau haingizi siasa kwenye kazi
Wengine kick tu kama kina kigwangala kudeal na kina dr mwaka, na kina kaoge tu
huku hosptali hamna vitanda
Hii nchi inahitaji maombi sana tukemee huu ujinga wa awamu hii
Ujinga ni maradhi mabaya sana.


Hapa tulipo tumefikiswa na serikali ya `Kikwete kwa kufumbia macho mambo mengi ambayo wewe unayaita si ya maana. Aliwakabithi nchi watu wachache mafia, cartels kuiendesha Tanzania. Tumeibiwa na watu wachache huku tukiona, wauza unga wakifanya biashara zao bila ya kubuguzwa na watoto wetu viongozi wa Kesha wamekuwa watumiaji wa dawa hizi huku Rais wetu akitalii nchi mbali mbali za maghalibi. Kila kitu Rais Magufuli amekikuta kimetafunwa. Wewe huna haya kusema serikali ya Magufuli imetufukisha hapa tulipo, serikali ambayo bado inatambaa hata miaka miwili hajafikisha! Wewe una hasira zako binafsi. Serikali hii imerithi nchi vyombo vyake vya sheria vilikuwa having nidhamu, wafanyakazi serikali wengi wao walikuwa hawaheshimu kazi zao ni deals tu, sheria ilikuwa ikiuzwa mitaani, Mwenye pesa ndiye mshindi na mnyonge haki yake haisikilizwi, Tanzania ilikuwa inaelekea pabaya. Rais ana kazi ngumu sana, kuiweka Tanzania sawa na kufukuza unyama uliojenga kwa Watanzania wachache waliozowea kuishi na kuwanyanyasa walio wengi. Namuombea Rais kwa niaba ya Watanzania walio wengi watu kama nyinyi msimukatishe tamaa na kuendelea na msimamo wake wa haki kwa wote.
 
Watanzania tumezoea unafiki
Asipo shikwa mtu mnasema serikali imetiwa mifukoni
Akishikwa mtu huyohuyo
Serikali ina visasi!!
Ajabu mnapenda vitu vya mlengo mmoja tu
Isitokee mtu wa mlengo wako akashutumiwa kutenda kosa
Lazima mpinge kwa nguvu zote!!
HUU UNAFIKI NAONA SERIKALI IWE MAKINI
Hizi kelele za hawa watetea maovu wazitupilie mbari
Watu wakamatwe kwa haki.huwezi kukamata watu hovyo na kuwafungulia mashtaka halafu tukuchekee. Gunia la mahindi ni laki moja nusu
 
Hili jamaa la hovyo sana, sasa ulitaka sembe iuzwe shs ngapi? Ulitaka debe la mahindi liuzwe shs ngapi? Siukalime mwenyewe! Acha tuliopinda mgongo shamba nasie tule jasho letu, kama huwezi nunua mahindi kanunue cement ya dangote inauzwa debe elfu tisa.
Jinsi ulivyo mbumbumbu unadhani ongezeko la bei anapata mkulima,badala ya wafanyabiashara waliohodhi nafaka na bidhaa nyingine
Poor you!
 
Hili jamaa la hovyo sana, sasa ulitaka sembe iuzwe shs ngapi? Ulitaka debe la mahindi liuzwe shs ngapi? Siukalime mwenyewe! Acha tuliopinda mgongo shamba nasie tule jasho letu, kama huwezi nunua mahindi kanunue cement ya dangote inauzwa debe elfu tisa.
Kumbe we jamaa mweupe sana upstair
 
Nahisi unamatatizo wewe .wewe hujui uchumi unategemeana .sasa wewe mkulima pata faida kwenye kuvuna na uje kupata hasara kwenye ujenzi maana bei ya vitu inaathiri kote
sasa ndio madhara ya kuadimika madawa inaonekana kwahiyo mvua isiponyesha cement inapanda bei?
 
Watu wakamatwe kwa haki.huwezi kukamata watu hovyo na kuwafungulia mashtaka halafu tukuchekee. Gunia la mahindi ni laki moja nusu
Hata likiwa Laki nane
Kwani Magu anamahindi
Au ndio mungu kazuia mvua!!
Muache ujinga
 
Wewe unaonekana ni wakijiweni, nikukumbushe tu kuwa hata yesu na mtume muhamad kuna watu waliwapinga ingawa sasahivi ndio imani kuu duniani. Fanya kazi acha chuki za kijinga na kutumia uhuru wa kujieleza vibaya


Sijuwi wa kwetu anafanyizia Alkisasi au anasamehe saba mara sabini?
 
Tukipata watu wengi wenye machungu na hasira kama ww hakika tutafika tinakotaka serikali hovyohovyo siku zote ina deal na kick madara ya ku deal na vitu vya mcngi
Hivi kuna tabgible results kweli tangu mkemia aingie madarakani? Shule bure zimeondoa kbs moyo wa wazazi kuchangia elimu, wanadai kila kitu ni bure, hawana haja ya kuchangia. Uchumi ndio sina hata la kusema. Sembe haishikiki, kilo 2300 hapa kwetu.
 
Kuutaja ujinga watadhani ni uchochezi. kwa anaendani ni uchochezi akarejelee maana neno "ujinga".

Serikali imegeuka ya ajabu na ya kijinga kupita maelezo watu wapo tu busy kudeal na kulipiza visasi huku wananchi wakiumia.

Kamata kamata ya ajabu ajabu huku mda ukienda. Time is money tunapoteza muda kudeal na mambo ya kina lema na lissu kuwafunga na kuwanyima dhamana bila kujali wananchi wanahitaji nini.

Mfumuko wa bei kila siku kilo ya unga 2000, Debe la mahindi 22500, Tambi kuna sehemu zauzwa 2000, Nyama kilo imefika 9500, Mafuta ya kupikia. ta 4500, inakimbilia 5000 halafu unahubiri kuwa wewe ni raisi wa wanyonge looooh labda wanyonge wenzio

Mawaziri na maDC na maRC wasiojielewa. Waziri wa Nishati na Madini tu Professa Muhongo ndo ana afadhali angalau haingizi siasa kwenye kazi.

Wengine kick tu kama kina Kigwangala kudeal na kina Dr Mwaka, na kina kKoge tu huku hosptali hamna vitanda.

Hii nchi inahitaji maombi sana tukemee huu ujinga wa awamu hii;
Ujinga ni maradhi mabaya sana.
True
 
Watanzania tumezoea unafiki
Asipo shikwa mtu mnasema serikali imetiwa mifukoni
Akishikwa mtu huyohuyo
Serikali ina visasi!!
Ajabu mnapenda vitu vya mlengo mmoja tu
Isitokee mtu wa mlengo wako akashutumiwa kutenda kosa
Lazima mpinge kwa nguvu zote!!
HUU UNAFIKI NAONA SERIKALI IWE MAKINI
Hizi kelele za hawa watetea maovu wazitupilie mbari

Kaongelea njaa na vitu kupanda bei maisha magumu we unasema kelele za watetea maovu? Huu ndo ujinga wenyewe sasa unaongea
 
Back
Top Bottom