The Son
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 459
- 58
lets be PATIENCE
Not 'PATIENCE'= uvumilivu, but 'PATIENT' = wavumilivu!
lets be PATIENCE
Not 'PATIENCE'= uvumilivu, but 'PATIENT' = wavumilivu!
Serikal ya jamhur ya muungn ya tz,imeingilia kati suala la TCU kuchelewa kutoa majibu lasimi ya vjana wenye sfa za kujiunga na vyuo nch na inasemekama kuwa TCU wamepewa saa 24 tu wawe wametoa majina hayo ikiwa ni pamoja na HESLB.Hvyo wana jamv wenzangu kuanzia saa 10 na kuendelea tembelea webst ya tcu wanaweza kuwa wameweka.Lazima iwe leo.
Kwa mujibu wa taarifa yako masaa 24 yana isha leo saa 6 mchana, ni kama masaa ma3 toka sasa, kama taarifa yako ni ya uongo utawakoma wana jamvi
Yangu macho
aisee ume muokoa, wacha tungoje
serikal ya jamhur ya muungn ya tz,imeingilia kati suala la tcu kuchelewa kutoa majibu lasimi ya vjana wenye sfa za kujiunga na vyuo nch na inasemekama kuwa tcu wamepewa saa 24 tu wawe wametoa majina hayo ikiwa ni pamoja na heslb.hvyo wana jamv wenzangu kuanzia saa 10 na kuendelea tembelea webst ya tcu wanaweza kuwa wameweka.lazima iwe leo.
tumekuongeza another 24hrs.
Hapa ni mpaka tarehe 1 oct hizo habari nyingine nimeshagundua ni mbwembwe tu..
umesha onaeeeee hapa hamna kitu
tumekuongeza another 24hrs
naomba msamaha wenu wana jamv mchana nilijarbu kuongea na yule bwana akadai jana walshndwa kumalza kzi yao kwan inaonekana kuwa ngumu na hvyo akaniambia mpak jtatu,ila sito waahidi tena but just weit.Pia kama kuna mwana agrbusnes ambaye jina halionekan SUA.pia kadai jtatu ndo itaeleweka.SAMAHan sana wangwana wenzangu.