Serikali: Ukitaka kukaa mita 200, uwe na kibali

Serikali: Ukitaka kukaa mita 200, uwe na kibali

Naamka asubuhi nasonga ugali nagonga na nyama saaafi nakunywa na maji safi salama nashika msaafu naswali

Nabeba kikatio naelekea kituoni naingia kwa foleni

Kila mwenye haraka nampisha mzee nampisha baba nampisha mama nampisha kila mwenye haraka nampisha

Nasambaza upendo huku navuna karama

Hapo nalinda kura kwa mita tano tyuuuu

Zuia goli la mkono

Vote for Edward Ngoyai Lowasa the president 2015-2025
CHADEMA


Piiiiiiiiiipoz na mita tano

Ndo umeumiza kichwa kwa kufikiria mpaka mwisho hapa? Duh!
 
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Tegeta waliojitokeza kumpokea wakati akielekea kwenye mkutano wa kampeni wa jimbo la Kawe uliofanyika viwanja vya Bunju.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa mkutano wa Bunju A.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu wa Rais Dk. Ghalib Bilal kabla ya kuhutubia wakazi wa Kawe waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika kwenye viwanja vya Bunju A.
Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni za CCM Kawe.

Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba akihutubia kwenye mkutano wa kampeni za CCM wa kumnadi Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli uliofanyika kwenye viwanja vya Bunju A.
Wakazi wa Kawe wakiwa juuu ya paa la nyumba wakati wa mkutano CCM wa kumnadi
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Kawe kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye viwanja vya Bunju A.
Wananchi wa Kawe wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea wa Ubunge jimbo la Kawe Kippi Warioba kwenye mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika viwanja vya Bunju A.
VIJANA TUPO NA LOWASA
 
Naamka asubuhi nasonga ugali nagonga na nyama saaafi nakunywa na maji safi salama nashika msaafu naswali

Nabeba kikatio naelekea kituoni naingia kwa foleni

Kila mwenye haraka nampisha mzee nampisha baba nampisha mama nampisha kila mwenye haraka nampisha

Nasambaza upendo huku navuna karama

Hapo nalinda kura kwa mita tano tyuuuu

Zuia goli la mkono

Vote for Edward Ngoyai Lowasa the president 2015-2025
CHADEMA


Piiiiiiiiiipoz na mita tano
Safi sana hii. Wote mkiwa na akili hii watakaopiga kura ni wana CCM tu
 
..we kasimame mita 5 au 10 au mia au 200,
jumatatu tukusaidie kukufunga P.O.P la mguu na la mdomo
 
Hawatatoa kwa sababu ni mpumbavu tu ataeenda kukusanyika kwa makusudi eti ya "kulinda kura".

Huwaamini mawakala wanne wa ukiwa dhidi ya mmoja tu wa CCM ndani ya kituo cha kura?

Msituletee upumbavu wenu mkataka kuvunja amani, kuna maisha baada ya uchaguzi.

Mngeanza kulinda wake zenu Rombo kule, sasa hivi wanatafuta mabwana Kenya kwa kuwa mmeshindwa hata kuwapa haki yao.

Unataka kufanya maandamno au kuweka kikundi cha kisiasa siku ya uchaguzi, nenda kachukuwe kibali, ukinyimwa ondoka.

Mita 200 nje ya kituo cha kura unalinda nini? Tuondoleeni huo upumbavu.


Kitu kidogo sana kinashangaza, mna wasi wasi gani kwa hawa wapumbavu kufanya hicho wanachoita kulinda kura, si mkalale... tatizo nini???
 
Naamka asubuhi nasonga ugali nagonga na nyama saaafi nakunywa na maji safi salama nashika msaafu naswali

Nabeba kikatio naelekea kituoni naingia kwa foleni

Kila mwenye haraka nampisha mzee nampisha baba nampisha mama nampisha kila mwenye haraka nampisha

Nasambaza upendo huku navuna karama

Hapo nalinda kura kwa mita tano tyuuuu

Zuia goli la mkono

Vote for Edward Ngoyai Lowasa the president 2015-2025
CHADEMA


Piiiiiiiiiipoz na mita tano
bna hacha utani, kaulizie, ulizie uko mahakama kuu, hukumu imekuwaje, then utupashe kamanda. hutani huu ni kama wa Babu na wajukuu
 
Serikali inajichanganya.Kama walikuwa hawaipendi hii sheria basi wangempelekea Mama Makinda muswada wa dharula ili aifute hii sheria.
Vitendo vya serikali ni vya kuchochea uvinjifu wa amani.
 
Wakati Taifa likisubiri uamuzi wa kesi ya mita 200 iliyofunguliwa Mahakama Kuu ya Tanzania na Amy Patience Kibatala, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe, ambaye Wizara yake inasimamia jeshi la polisi ametoa tamko. Chikawe amesema kuwa zipo Sheria zinazoruhusu kuwapo kwa maandamano na mikusanyiko, zikiwataka wanaotaka kufanya hivyo kupata kibali cha polisi.

"Ikiwa kituo cha kupigia kura kipo nyumbani kwako huwezi kuhama nyumba, ila hupaswi kufanya sherehe. Piga kura na tii Sheria ya Uchaguzi. Kwa watakaotaka kukusanyika, waombe kibali cha Jeshi la Polisi kama Sheria inavyowataka. Tunachohitaji ni kuwepo kwa amani wakati na baada ya kumalizika uchaguzi mkuu" alisema

Chanzo: Mwananchi la leo, ukurasa wa 1 na 3

Swali langu binafsi: Polisi watatoa vibali hivyo?

Ikiwa kuna msiba na ndio siku ya mazishi?
 
Naamka asubuhi nasonga ugali nagonga na nyama saaafi nakunywa na maji safi salama nashika msaafu naswali

Nabeba kikatio naelekea kituoni naingia kwa foleni

Kila mwenye haraka nampisha mzee nampisha baba nampisha mama nampisha kila mwenye haraka nampisha

Nasambaza upendo huku navuna karama

Hapo nalinda kura kwa mita tano tyuuuu

Zuia goli la mkono

Vote for Edward Ngoyai Lowasa the president 2015-2025
CHADEMA


Piiiiiiiiiipoz na mita tano


umeambiwa usilinde kura, we ukalinda kura........"UTAPIGWA TU----NA MIMI NASEMA POLIS MUWAPIGE TU" maana hakuna namna, lazima wote tukubaliane nchi hii inaongoza kwa sheria na kanuni zake.Sasa wewe unajifanya ngangari "UTAPIGWA TU".
 
Naamka asubuhi nasonga ugali nagonga na nyama saaafi nakunywa na maji safi salama nashika msaafu naswali

Nabeba kikatio naelekea kituoni naingia kwa foleni

Kila mwenye haraka nampisha mzee nampisha baba nampisha mama nampisha kila mwenye haraka nampisha

Nasambaza upendo huku navuna karama

Hapo nalinda kura kwa mita tano tyuuuu

Zuia goli la mkono

Vote for Edward Ngoyai Lowasa the president 2015-2025
CHADEMA


Piiiiiiiiiipoz na mita tano

Wewe jamaa umetumia akili sana......mwambie Lowassa achombeze hii katika kikao chake na watanzania leo usiku
 
Tutalinda kura zetu bora tufe kuliko kuwa chini ya utawala wa CCM
 
Mwaka huu ccm mna hofu gani wananchi kwenye kulinda kura?
Mwaka huu ccm kuondoka madarakani ni lazima hakuna njia kama mnategemea bao la mkono imekula kwenu
PIGA KURA
LINDA KURA .

LOWASA NDO CHAGUO LETU NDO RAISI WETU MTARAJIWA.
 
Ccm imefulia yan watu kukaa kuongea pia kunahatarisha amani, kusherehekea kunahatarisha amani, kwahyo siku ya uchaguzi watu wakae km kuna msiba kila nyumba mwisho wa siku watatuchagulia mpk chakula cha kupika na muda wa kulala
 
Polisi: Piga kura kisha rudi nyumbani

Rais: Piga kura kisha rudi nyumbani

Tume: Piga kura kisha rudi nyumbani

Mahakama: Itasema mkae mita 200 kwa kufuata sheria

Sheria inasemaje: Ili ufanye mkusanyiko nje ya mita 200 lazima uwe na kibali cha polisi

Polisi walisemaje: Piga kura rudi nyumbani

...Do I need to say anymore!?
Sheria ya uchaguzi haitatumika tena kwenye hili. watatumia sheria ingine na hata ya police ordinace. Na IGP jana kajaribu kwa kutumia hata makubaliano ya maadili vyama vya siasa na tume!
 
mimi binafsi ntapiga kura yangu na ntailinda,hizi nyingine ni porojo tu.
 
Back
Top Bottom