Naamka asubuhi nasonga ugali nagonga na nyama saaafi nakunywa na maji safi salama nashika msaafu naswali
Nabeba kikatio naelekea kituoni naingia kwa foleni
Kila mwenye haraka nampisha mzee nampisha baba nampisha mama nampisha kila mwenye haraka nampisha
Nasambaza upendo huku navuna karama
Hapo nalinda kura kwa mita tano tyuuuu
Zuia goli la mkono
Vote for Edward Ngoyai Lowasa the president 2015-2025
CHADEMA
Piiiiiiiiiipoz na mita tano
Safi sana hii. Wote mkiwa na akili hii watakaopiga kura ni wana CCM tuNaamka asubuhi nasonga ugali nagonga na nyama saaafi nakunywa na maji safi salama nashika msaafu naswali
Nabeba kikatio naelekea kituoni naingia kwa foleni
Kila mwenye haraka nampisha mzee nampisha baba nampisha mama nampisha kila mwenye haraka nampisha
Nasambaza upendo huku navuna karama
Hapo nalinda kura kwa mita tano tyuuuu
Zuia goli la mkono
Vote for Edward Ngoyai Lowasa the president 2015-2025
CHADEMA
Piiiiiiiiiipoz na mita tano
Hawatatoa kwa sababu ni mpumbavu tu ataeenda kukusanyika kwa makusudi eti ya "kulinda kura".
Huwaamini mawakala wanne wa ukiwa dhidi ya mmoja tu wa CCM ndani ya kituo cha kura?
Msituletee upumbavu wenu mkataka kuvunja amani, kuna maisha baada ya uchaguzi.
Mngeanza kulinda wake zenu Rombo kule, sasa hivi wanatafuta mabwana Kenya kwa kuwa mmeshindwa hata kuwapa haki yao.
Unataka kufanya maandamno au kuweka kikundi cha kisiasa siku ya uchaguzi, nenda kachukuwe kibali, ukinyimwa ondoka.
Mita 200 nje ya kituo cha kura unalinda nini? Tuondoleeni huo upumbavu.
bna hacha utani, kaulizie, ulizie uko mahakama kuu, hukumu imekuwaje, then utupashe kamanda. hutani huu ni kama wa Babu na wajukuuNaamka asubuhi nasonga ugali nagonga na nyama saaafi nakunywa na maji safi salama nashika msaafu naswali
Nabeba kikatio naelekea kituoni naingia kwa foleni
Kila mwenye haraka nampisha mzee nampisha baba nampisha mama nampisha kila mwenye haraka nampisha
Nasambaza upendo huku navuna karama
Hapo nalinda kura kwa mita tano tyuuuu
Zuia goli la mkono
Vote for Edward Ngoyai Lowasa the president 2015-2025
CHADEMA
Piiiiiiiiiipoz na mita tano
Wakati Taifa likisubiri uamuzi wa kesi ya mita 200 iliyofunguliwa Mahakama Kuu ya Tanzania na Amy Patience Kibatala, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe, ambaye Wizara yake inasimamia jeshi la polisi ametoa tamko. Chikawe amesema kuwa zipo Sheria zinazoruhusu kuwapo kwa maandamano na mikusanyiko, zikiwataka wanaotaka kufanya hivyo kupata kibali cha polisi.
"Ikiwa kituo cha kupigia kura kipo nyumbani kwako huwezi kuhama nyumba, ila hupaswi kufanya sherehe. Piga kura na tii Sheria ya Uchaguzi. Kwa watakaotaka kukusanyika, waombe kibali cha Jeshi la Polisi kama Sheria inavyowataka. Tunachohitaji ni kuwepo kwa amani wakati na baada ya kumalizika uchaguzi mkuu" alisema
Chanzo: Mwananchi la leo, ukurasa wa 1 na 3
Swali langu binafsi: Polisi watatoa vibali hivyo?
Naamka asubuhi nasonga ugali nagonga na nyama saaafi nakunywa na maji safi salama nashika msaafu naswali
Nabeba kikatio naelekea kituoni naingia kwa foleni
Kila mwenye haraka nampisha mzee nampisha baba nampisha mama nampisha kila mwenye haraka nampisha
Nasambaza upendo huku navuna karama
Hapo nalinda kura kwa mita tano tyuuuu
Zuia goli la mkono
Vote for Edward Ngoyai Lowasa the president 2015-2025
CHADEMA
Piiiiiiiiiipoz na mita tano
Naamka asubuhi nasonga ugali nagonga na nyama saaafi nakunywa na maji safi salama nashika msaafu naswali
Nabeba kikatio naelekea kituoni naingia kwa foleni
Kila mwenye haraka nampisha mzee nampisha baba nampisha mama nampisha kila mwenye haraka nampisha
Nasambaza upendo huku navuna karama
Hapo nalinda kura kwa mita tano tyuuuu
Zuia goli la mkono
Vote for Edward Ngoyai Lowasa the president 2015-2025
CHADEMA
Piiiiiiiiiipoz na mita tano
Sheria ya uchaguzi haitatumika tena kwenye hili. watatumia sheria ingine na hata ya police ordinace. Na IGP jana kajaribu kwa kutumia hata makubaliano ya maadili vyama vya siasa na tume!Polisi: Piga kura kisha rudi nyumbani
Rais: Piga kura kisha rudi nyumbani
Tume: Piga kura kisha rudi nyumbani
Mahakama: Itasema mkae mita 200 kwa kufuata sheria
Sheria inasemaje: Ili ufanye mkusanyiko nje ya mita 200 lazima uwe na kibali cha polisi
Polisi walisemaje: Piga kura rudi nyumbani
...Do I need to say anymore!?
mimi binafsi ntapiga kura yangu na ntailinda,hizi nyingine ni porojo tu.