Msilinde sisi tunalinda sikubali
Linda uingiziwe yamoto moto.
Msilinde sisi tunalinda sikubali
Polisi: Piga kura kisha rudi nyumbani
Rais: Piga kura kisha rudi nyumbani
Tume: Piga kura kisha rudi nyumbani
Mahakama: Itasema mkae mita 200 kwa kufuata sheria
Sheria inasemaje: Ili ufanye mkusanyiko nje ya mita 200 lazima uwe na kibali cha polisi
Polisi walisemaje: Piga kura rudi nyumbani
...Do I need to say anymore!?
Mimi ninayependa kwenda kuangalia mechi za mchangani, ninawasiwasi kuna siku tutakamatwa kwa kukusanyika kuangalia mechi bila kibali