Serikali: Ukitaka kukaa mita 200, uwe na kibali

Serikali: Ukitaka kukaa mita 200, uwe na kibali

Je, tunapaswa kuomba na kibali cha kukusanyika(kujipanga) kwa ajili ya kupiga kura!!!??
 
Polisi: Piga kura kisha rudi nyumbani

Rais: Piga kura kisha rudi nyumbani

Tume: Piga kura kisha rudi nyumbani

Mahakama: Itasema mkae mita 200 kwa kufuata sheria

Sheria inasemaje: Ili ufanye mkusanyiko nje ya mita 200 lazima uwe na kibali cha polisi

Polisi walisemaje: Piga kura rudi nyumbani

...Do I need to say anymore!?

Sheria ya tume/polisi/ya kwako?
Jana mlikuwa mnakamata watu kule Makao mapya Arusha ukifika kituoni polisi wanataka kadi ya kupiga kura kama mdhamana jumatatu wanakwambia uje uchukue kitambulisho chako.
Sasa Dada Hamida hiyo ni sheria ya wapi?
 
Mimi ninayependa kwenda kuangalia mechi za mchangani, ninawasiwasi kuna siku tutakamatwa kwa kukusanyika kuangalia mechi bila kibali

Wale wa uwanja wa taifa kuangalia mpira itabidi wawe wanachukua vibali
 
Back
Top Bottom