Serikali: Ukitaka kukaa mita 200, uwe na kibali

Serikali: Ukitaka kukaa mita 200, uwe na kibali

Ni wito wangu kuwa watanzania wote,tutapiga kura na kurudi majumbani mwetu na hatutakuwa tayari kushiriki vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani
 
Acha ujinga, tutapiga kura tutalinda kura zetu. Na tutatunza amani kwa mujibu wa sheria.
 
Magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli
 

Attachments

  • 1445586172414.jpg
    1445586172414.jpg
    26 KB · Views: 138
hakika lazima tufanye hivyo kwa sababu kila mtu akilinda kura tunaweza hatarisha amani ya wananchi wetu na taifa kwa ujumla wake
 
hakuna ulazima wa kulinda kura kwa sababu tuna mawakala wa kila ngazi na kila mgombea
 
Wakati Taifa likisubiri uamuzi wa kesi ya mita 200 iliyofunguliwa Mahakama Kuu ya Tanzania na Amy Patience Kibatala, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe, ambaye Wizara yake inasimamia jeshi la polisi ametoa tamko. Chikawe amesema kuwa zipo Sheria zinazoruhusu kuwapo kwa maandamano na mikusanyiko, zikiwataka wanaotaka kufanya hivyo kupata kibali cha polisi.

"Ikiwa kituo cha kupigia kura kipo nyumbani kwako huwezi kuhama nyumba, ila hupaswi kufanya sherehe. Piga kura na tii Sheria ya Uchaguzi. Kwa watakaotaka kukusanyika, waombe kibali cha Jeshi la Polisi kama Sheria inavyowataka. Tunachohitaji ni kuwepo kwa amani wakati na baada ya kumalizika uchaguzi mkuu" alisema

Chanzo: Mwananchi la leo, ukurasa wa 1 na 3

Swali langu binafsi: Polisi watatoa vibali hivyo?


Hawatatoa kwa sababu ni mpumbavu tu ataeenda kukusanyika kwa makusudi eti ya "kulinda kura".

Huwaamini mawakala wanne wa ukiwa dhidi ya mmoja tu wa CCM ndani ya kituo cha kura?

Msituletee upumbavu wenu mkataka kuvunja amani, kuna maisha baada ya uchaguzi.

Mngeanza kulinda wake zenu Rombo kule, sasa hivi wanatafuta mabwana Kenya kwa kuwa mmeshindwa hata kuwapa haki yao.

Unataka kufanya maandamno au kuweka kikundi cha kisiasa siku ya uchaguzi, nenda kachukuwe kibali, ukinyimwa ondoka.

Mita 200 nje ya kituo cha kura unalinda nini? Tuondoleeni huo upumbavu.
 
Magamba kwisaaa kabsaaa
Wakati Taifa likisubiri uamuzi wa kesi ya mita 200 iliyofunguliwa Mahakama Kuu ya Tanzania na Amy Patience Kibatala, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe, ambaye Wizara yake inasimamia jeshi la polisi ametoa tamko. Chikawe amesema kuwa zipo Sheria zinazoruhusu kuwapo kwa maandamano na mikusanyiko, zikiwataka wanaotaka kufanya hivyo kupata kibali cha polisi.

"Ikiwa kituo cha kupigia kura kipo nyumbani kwako huwezi kuhama nyumba, ila hupaswi kufanya sherehe. Piga kura na tii Sheria ya Uchaguzi. Kwa watakaotaka kukusanyika, waombe kibali cha Jeshi la Polisi kama Sheria inavyowataka. Tunachohitaji ni kuwepo kwa amani wakati na baada ya kumalizika uchaguzi mkuu" alisema

Chanzo: Mwananchi la leo, ukurasa wa 1 na 3

Swali langu binafsi: Polisi watatoa vibali hivyo?
 
Naamka asubuhi nasonga ugali nagonga na nyama saaafi nakunywa na maji safi salama nashika msaafu naswali

Nabeba kikatio naelekea kituoni naingia kwa foleni

Kila mwenye haraka nampisha mzee nampisha baba nampisha mama nampisha kila mwenye haraka nampisha

Nasambaza upendo huku navuna karama

Hapo nalinda kura kwa mita tano tyuuuu

Zuia goli la mkono

Vote for Edward Ngoyai Lowasa the president 2015-2025
CHADEMA


Piiiiiiiiiipoz na mita tano
 
Back
Top Bottom